Mfumko wa bei wagonga rekodi mpya katika kanda ya Euro

Mfumko wa bei wagonga rekodi mpya katika kanda ya Euro

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Mfumko wa bei umegonga rekodi mpya katika nchi 19 za ukanda unaotumia sarafu ya Euro. Hali hiyo imesababishwa na ongezeko kubwa la bei ya mafuta kufuatia vita nchini Ukraine. Katika mwezi huu wa Aprili, mfumko wa bei umefikia asilimia 7.5 kiwango ambacho ni kikubwa zaidi kuwahi kurekodiwa tangu zilipoanza kutolewa takwimu mwaka 1997. Bei za mafuta zimepanda na kupindukia asilimia 38, hali ambayo inadhihirishwa namna ambavyo vita vimeathiri bei ya nishati duniani na kusababisha hali mbaya kwa wakaazi milioni 343 wa kanda inayotumia sarafu ya Euro. Khofu kwamba vita vya Urusi nchini Ukraine huenda vikasababisha kukatizwa usambazaji wa mafuta au gesi kutoka Urusi imechochea bei za mafuta na gesi asilia kupanda zaidi.

Note.Nchi mmoja inasababisha mgogoro wa kiuchumi katika Nchi tajiri zaidi Duniani,na Ulimwengu kwa ujumla-halafu anatokea Mtanzania wa Kigurunyembe anakwambia Urusi sio chochote-khaaa.

# Urusi sio Lesotho!
 
Simple logic hapo ni kuwa Urusi ndio anaongoza Uchumi wa Nchi za Ulaya,kama ambayo Tanzania tunavyotegemea Wamarekani waangalie firm ya Royal tour ili waje waangakie tembo na sisi tupate hela.
Sasa wewe hata buku 2 ya kukipia getini uingie kwenye hifadhi huna,si bora hao US waje tuu..

Ikibidi tuwauzie Tanzania,Zambia wako mbioni kuwauzia US👇

Screenshot_20220429-172252.png


Screenshot_20220429-172443.png
 
Back
Top Bottom