Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo jema kuujulisha umma kaka. Mimi nilisha tumia mfumo huu na kufanikiwa ku upload kitabu kimoja kinaitwa Back to life "beat the NCDs" ila kwa suala la sales ndo bado maana sijafanya promo yeyote mpaka sasa. Ila kdp ni nzuri na ipo siku kuna mtu atapiga hela nyingi ad waseme anafuga nyoka mkubwa ndani.Je, unajua kwamba kuna mfumo mpya wa amazon unaoturuhusu kutengeneza na kuchapisha vitabu AMAZON na kuviuza?
Hii Inafanya kazi kwa
Wahitimu
Wafanyakazi 9- 5
Wanafunzi
Wanawake wa Nyumbani
Joobless wote mtaani
Hata watoto pia wanaweza kutengeza vitabu vya watoto wakaviuza
La msingi uweze kujua kiingereza, kusoma na kuandika na kuweza kutumia Smartphone yako au laptop kama unayo.
Ikiwa wanaweza kufanya hivyo, basi unaweza kufanya vizuri zaidi.
Inaitwa AMAZON KINDLE DIRECT PUBLISHING (AMAZON KDP). Hii ni aina ya biashara mtandaoni ambapo unapata pesa kwa kuchapisha, kutengeza au ku design vitabu na ku vi upload Amazon.
View attachment 2362751
Ukiwa na UTAYARI wa kujifunza na kutekeleza yale utakayofundishwa basi ni rahisi sana kuweza kuijua hii inavyofanya kazi.
Sina laptop......? Simu inatosha
Sijui kuandika....... Hakuna shida
Mimi si gwiji wa kompyuta...... Hakuna tatizo,
Hahitaji pesa yoyote
Kumbuka ni (UNATENGENEZA KITABU CHAKO UNAKIWEKA AMAZON, SOKO KUBWA NI [emoji631] Marekani KITANUNULIWA HELA ITAINGIA KWENYE ACCOUNT YAKO)
Hii ipo zamani tangu amazon ianzishwe, watumiaji wa kompyuta pekee ndio wanaopata pesa kutoka kwa amazon.
Lakini kwa sasa WATUMIAJI WA SMARTPHONE wanaweza kutengeneza vitabu AMAZON.
Unachohitaji ni...
Simu
Mb zako
Cha kufanya
Nenda popote pale hata youtube, Google, kuna kozi coursera, ujifunze vitu vifuatavyo
Jifunze jinsi ya kutengeneza vitabu na kuviuza ukitumia Amazon KDP... Hata kama hujui kuandika.
Jifunze namna ya ku design vitabu na cover za vitabu kwa kutumia canva
Jifunze namna ya kutumia canva
Kuna sehemu nyingi ambazo unaweza ku download vitabu ambavyo vimeshatengenezwa na kuviuza moja kwa moja AMAZON
Njia nyepesi, tafuta wataalamu au watu ambao wanafanya hii wakusaidie
Kuna videos nyingi YouTube zinafundisha.
Ila na mimi pia natoa mwongozo wa kujiunga, kutengeneza vitabu, na tools muhimu za kutumia
Nicheki kwa whatsap namba
+255693880325
Vitabu vinavyouzwa sana Amazon
Notebook, journals, vitabu vya watoto, vitabu vya kichora, mapenzi, vitabu vinavyohusu wanawake, vitabu vya zawadi,
Huhitaji kuwa mwandishi kutengeneza vitabu.
Elimu hii ni kubwa ila naomba niishie hapa
View attachment 2362746
kitabu changu ni kidogo tu, kurasa kama 121 na kinahusu magonjwa yasiyo ambukizwa yani Non Communicable Diseases ambayo yanaongoza kwa kuua watu duniani. Unaweza google hata jina la mwanishi 'Ernest Mabogo" kukiona kitabu....au hata kununua kabisa🙂🙂🙂Je, unajua kwamba kuna mfumo mpya wa amazon unaoturuhusu kutengeneza na kuchapisha vitabu AMAZON na kuviuza?
Hii Inafanya kazi kwa
Wahitimu
Wafanyakazi 9- 5
Wanafunzi
Wanawake wa Nyumbani
Joobless wote mtaani
Hata watoto pia wanaweza kutengeza vitabu vya watoto wakaviuza
La msingi uweze kujua kiingereza, kusoma na kuandika na kuweza kutumia Smartphone yako au laptop kama unayo.
Ikiwa wanaweza kufanya hivyo, basi unaweza kufanya vizuri zaidi.
Inaitwa AMAZON KINDLE DIRECT PUBLISHING (AMAZON KDP). Hii ni aina ya biashara mtandaoni ambapo unapata pesa kwa kuchapisha, kutengeza au ku design vitabu na ku vi upload Amazon.
View attachment 2362751
Ukiwa na UTAYARI wa kujifunza na kutekeleza yale utakayofundishwa basi ni rahisi sana kuweza kuijua hii inavyofanya kazi.
Sina laptop......? Simu inatosha
Sijui kuandika....... Hakuna shida
Mimi si gwiji wa kompyuta...... Hakuna tatizo,
Hahitaji pesa yoyote
Kumbuka ni (UNATENGENEZA KITABU CHAKO UNAKIWEKA AMAZON, SOKO KUBWA NI [emoji631] Marekani KITANUNULIWA HELA ITAINGIA KWENYE ACCOUNT YAKO)
Hii ipo zamani tangu amazon ianzishwe, watumiaji wa kompyuta pekee ndio wanaopata pesa kutoka kwa amazon.
Lakini kwa sasa WATUMIAJI WA SMARTPHONE wanaweza kutengeneza vitabu AMAZON.
Unachohitaji ni...
Simu
Mb zako
Cha kufanya
Nenda popote pale hata youtube, Google, kuna kozi coursera, ujifunze vitu vifuatavyo
Jifunze jinsi ya kutengeneza vitabu na kuviuza ukitumia Amazon KDP... Hata kama hujui kuandika.
Jifunze namna ya ku design vitabu na cover za vitabu kwa kutumia canva
Jifunze namna ya kutumia canva
Kuna sehemu nyingi ambazo unaweza ku download vitabu ambavyo vimeshatengenezwa na kuviuza moja kwa moja AMAZON
Njia nyepesi, tafuta wataalamu au watu ambao wanafanya hii wakusaidie
Kuna videos nyingi YouTube zinafundisha.
Ila na mimi pia natoa mwongozo wa kujiunga, kutengeneza vitabu, na tools muhimu za kutumia
Nicheki kwa whatsap namba
+255693880325
Vitabu vinavyouzwa sana Amazon
Notebook, journals, vitabu vya watoto, vitabu vya kichora, mapenzi, vitabu vinavyohusu wanawake, vitabu vya zawadi,
Huhitaji kuwa mwandishi kutengeneza vitabu.
Elimu hii ni kubwa ila naomba niishie hapa
View attachment 2362746
Ili kupata hela inatakiwa vitabu vingi hasa vya low content.Jambo jema kuujulisha umma kaka. Mimi nilisha tumia mfumo huu na kufanikiwa ku upload kitabu kimoja kinaitwa Back to life "beat the NCDs" ila kwa suala la sales ndo bado maana sijafanya promo yeyote mpaka sasa. Ila kdp ni nzuri na ipo siku kuna mtu atapiga hela nyingi ad waseme anafuga nyoka mkubwa ndani.
Naweza kukupa mwongozo mpaka ukaweza kukiuza kule Amazon na kama wewe ni mpenzi wa kuandika kule ndo sehemu sahihi kuuza vitabu vyako bila kupiga hata promokitabu changu ni kidogo tu, kurasa kama 121 na kinahusu magonjwa yasiyo ambukizwa yani Non Communicable Diseases ambayo yanaongoza kwa kuua watu duniani. Unaweza google hata jina la mwanishi 'Ernest Mabogo" kukiona kitabu....au hata kununua kabisa🙂🙂🙂
0676718067Naweza kukupa mwongozo mpaka ukaweza kukiuza kule Amazon na kama wewe ni mpenzi wa kuandika kule ndo sehemu sahihi kuuza vitabu vyako bila kupiga hata promo
ningependa kujua unajiungaje na kindle?Jambo jema kuujulisha umma kaka. Mimi nilisha tumia mfumo huu na kufanikiwa ku upload kitabu kimoja kinaitwa Back to life "beat the NCDs" ila kwa suala la sales ndo bado maana sijafanya promo yeyote mpaka sasa. Ila kdp ni nzuri na ipo siku kuna mtu atapiga hela nyingi ad waseme anafuga nyoka mkubwa ndani.
Bro safi sana naomba kujua namna ya kupata maokoto yako. Benk ipi ni nzuri kwa hapo amazon kupata pesa yako kutokea mteja wako wa huko usa hadi wewe mwandishi uliopo Tanzania.Naweza kukupa mwongozo mpaka ukaweza kukiuza kule Amazon na kama wewe ni mpenzi wa kuandika kule ndo sehemu sahihi kuuza vitabu vyako bila kupiga hata promo
Hopefully PayPal ni rahisiBro safi sana naomba kujua namna ya kupata maokoto yako. Benk ipi ni nzuri kwa hapo amazon kupata pesa yako kutokea mteja wako wa huko usa hadi wewe mwandishi uliopo Tanzania.
Kipindi fulani si paypal ilizuiliwa Tanzania? Au sasa hivi inafanya kaziHopefully PayPal ni rahisi
Haija deletekaDeleted
gvt yetu haina ubavu wa kuzuia online payments..Kipindi fulani si paypal ilizuiliwa Tanzania? Au sasa hivi inafanya kazi