ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Habari ya asubuhi wakuu naomba kujuzwa juu ya huu mfumo mpya unatumika UEFA champions league. Maana nimejaribu kufuatilia naona kama kuna utaratibu mpya umetambulishwa sijui kama walianza msimu ulioisha au ndo wameanza msimu huu.
Kwa yeyote anaeulewa tafadhali na atujuze. Ahsanteni
Kwa yeyote anaeulewa tafadhali na atujuze. Ahsanteni