MalumeNdago
Member
- Jan 8, 2018
- 17
- 19
wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikaliTanzania Electronic Procurement System (TaNEPS), umeshindwa ku-deliver au ni mipango mjini? Mtujuze.
wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikali
Mbona hakuna maandalizi yoyote so far?wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikali