Mfumo uliopo hivi sasa CCM unawapendelea waliopo madarakani kuliko watangaza nia

Mfumo uliopo hivi sasa CCM unawapendelea waliopo madarakani kuliko watangaza nia

Kadoda nguku

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
332
Reaction score
475
Wabunge waliopo madarakani wanapita wanakutana na wajumbe wapiga kura wanagawa fedha, matishirt n.k. lakini watu wengine wanaotaka kuomba kuteuliwa nafasi hiyo ni marafuku . kwa mtindo huo ni vigumu kupata sura mpya zitakazo ingia madarakani.

Hivi chama hakioni utaratibu huo unawapendelea wanasiasa waliopo madarakani, wao wanapita wanakutana na wapiga kura ,wengine ni marafuku ukipita TAKUKURU wanakukamata. Huu uwekewe mbinu nzuri usionekane kupendelea wanasiasa waliopo
 
Subiri wakati ukifika fanya siasa Safi. Achana nao, wataishiwa pumzi
IMG-20200531-WA0031.jpeg
 
Unapendelea pia na maswahiba wa mfumo wakijiita upinzani kachero
 
Wabunge waliopo madarakani wanapita wanakutana na wajumbe wapiga kura wanagawa fedha, matishirt n.k. lakini watu wengine wanaotaka kuomba kuteuliwa nafasi hiyo ni marafuku . kwa mtindo huo ni vigumu kupata sura mpya zitakazo ingia madarakani.

Hivi chama hakioni utaratibu huo unawapendelea wanasiasa waliopo madarakani, wao wanapita wanakutana na wapiga kura ,wengine ni marafuku ukipita TAKUKURU wanakukamata. Huu uwekewe mbinu nzuri usionekane kupendelea wanasiasa waliopo
hawana cha kupoteza hata wakibaki walewale!
 
Back
Top Bottom