Hapo Kwenye ubest losser ndo tuvizie,tukamkomalie Kenya atupe points tatu,kwingine hatatukila za uso ila yasiwe magoli mengi 2-1,3-2,4-2 5-3,si mbaya sanaMakundi yapo 6, kila kundi timu 4
Baada ya michezo ya makundi, timu 2 toka kila kundi zitaqualify.. pamoja na timu 4 bora zilizo shika nafasi ya 3 numla zitakua timu 16.
Timu 16 zitacheza matoano, kisha robo fainali hadi fainali.
Kwa hiyo Tanzania lazima ijipange kuwa bora kwa kila nafasi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Best losers ni 4 tu.Mkuu.. Binafsi sijaelewa kabisa, maana nimezoea kama World Cup inaweza kuwa na team 32..
Makundi yanaweza kuwa 8 kwa timu nnenne, kwa maana baada ya mzunguko team 2 toka kila group zitaqualify 16... Hvyo inaenda hadi robo fainali then fainali yenyewe..
Sasa hz tim 24.. Zkichuliwa timu mbilimbili kila group zitakuwa 12.. Ambapo hazina distribution inayoeleweka... Na kama kuongeza wale washind wa tatu kutoka kila kundi.. Basi washind watakuwa 6.. Maana ni makundi 6 hayo.. Ambapo jumla ya team zitakuwa 18... Bado hakuna distribution inayoeleweka
Kenya nao wanatuvizia hivo hivo akilini mwao.Hapo Kwenye ubest losser ndo tuvizie,tukamkomalie Kenya atupe points tatu,kwingine hatatukila za uso ila yasiwe magoli mengi 2-1,3-2,4-2 5-3,si mbaya sana
Hapo Kwenye ubest losser ndo tuvizie,tukamkomalie Kenya atupe points tatu,kwingine hatatukila za uso ila yasiwe magoli mengi 2-1,3-2,4-2 5-3,si mbaya sana
Kweli! Tutatinga tu hiyo 16 boratumfunge kenya na tujitahidi kupata droo kwa senegal au algeria au tufungwe magol machache tuingie kama best loser