KERO Mfumo wa Ajira wa Jeshi la Polisi unasumbua, shida si mtandao ni mfumo wao wenyewe. Waweke njia mbadala ya kutuma maombi

KERO Mfumo wa Ajira wa Jeshi la Polisi unasumbua, shida si mtandao ni mfumo wao wenyewe. Waweke njia mbadala ya kutuma maombi

  • Thread starter Thread starter Anonymous (d47a)
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
photo_2024-05-20_18-04-18.jpg





photo_2024-05-20_18-31-04.jpg

photo_2024-05-20_18-31-03.jpg
Tarehe 10/05/2024 Polisi Tanzania walitoa tangazao la kazi kwa vijana wa kitanzania waliohitimu Shule ya Upili Mwaka 2018 na kuendelea.

Deadline ya lile tangazo ilikuwa Mei 16, hivyo kwa sababu za kimitandao kufeli ku-access ikawa ngumu kwa sisi wenye matamanio ya kufanya kazi za Kipolisi kwa maslahi mapana ya Taifa letu kuomba nafasi.

Serikali iliweka wazi kuwa changamoto ya kimtandao ambayo iliathiri Nchi nzima ilichangia kuathiri.

Tunashukuru Jeshi la Polisi, juzikati liliongeza siku 6 nyingine mbele hadi tarehe 21/05/2024 ili kufidia hizi siku mbazo network ilikuwa inafeli, sasa cha ajabu mpaka sasa Portal yao haiingiliki kabisa na siku zinazidi kuisha.

Nashauri watafute mbinu mbadala ya kuwasilisha maombi kwa kuwa tunaoumia ni wengi.

Sasa hivi shida sio Mtandao tena kama ilivyokuwa awali, sasa hivi ni Mfumo wao wa Portal unazingua, ndio tatizo.

Ukifungua tovuti yao ya Polisi (ajira2.tpf.go.tz) italeta sehemu ya kujaza candidate Name, Email, Password kisha unabonyeza create.

Baada ya hapo inataleta sehemu ya kujaza NIN (NIDA), ukijaza NIDA ina search kama kwa dakika 4+ kisha inakwambia “no found details check your NIN”.

Hapo ndio panashida, inaonesha kanzidata ya Police haiwezi ku-trape taarifa kutoka kwenye Kanzidata ya NIDA.
Jeshi Ajira.png

Majibu ya Polisi- Jeshi la Polisi laongeza muda wa maombi ya kazi baada ya Mfumo wa Mtandoo wao kusumbua
 
Wakuu Heshima mbele.

Usiku huu nimetoka kuongea na Polisi mmoja Kanda ya kusini na ana cheo.

Anasema hivi Polisi kwa sasa wana mkongo wao, hivyo maombi yanafanyika katika vituo vikubwa vya Polisi tu. Hata yeye mwanzoni aliwaambia ndugu zake wakaombe kwenye Internet cafe lakini katika database za Polisi majina yao yalikuwa hayapo.

Hivyo akawachukua na kuwapeleka mkoani kituo kikubwa cha Polisi na wakafanikiwa kufanya maombi.

Anasema kwa mkoa aliyokuwepo alikuta kuna watu watatu tu ambao ndio wapo kwenye MFumo walioomba nafasi.

Kama Bado ujafanikiwa jaribu kufika katika ktuo kikubwa cha Polisi katika mkoa wako. Maana wapo wengi waliotuma lakini katika mifumo yao maombi hayafiki.

Na kingine hichi kuna mtu kanieleza kuwa alijaribu kuomba kwa Link ambayo si ile ya Polisi waliyotoa lakini akaitumia sababu wengi wanatumia. Alipokuja kupitia vzuri Cv zake na taarifa zingine akakuta mafaili tofauti na vitu vyake.

Kama una nafasi kesho ni mwisho fika Polisi Kituo chochote kikubwa kilichopo mkoani mwako muulizie taratibu zinakuwaje.

Usiku mwema wakuu.
 
broswer ya fire box ndio ipi mkuu??
Ingia play store utaikuta

Ni tofaut na browser za Google kama opera min chrome....hii inatumika na wachache afu iko faster
Kingine server yake haipotez kumbukumbu hata mtandao usumbue vip utaanzia ulipoishia
Last day leo
Jitahidin
 
Apply leo kuanzia saa 5:30 usiku mtandao huu wa polisi utakuu free enough

Download browser ya fire box ndo utumie pia tumia link ya TPF ajira2

N.b we nung'unika wenzio wana apply

Fanya hvo dogo
Mbona sioni
 
Usiku huu nimetoka kuongea na Polisi mmoja Kanda ya kusini na ana cheo.

Anasema hivi Polisi kwa sasa wana mkongo wao, hivyo maombi yanafanyika katika vituo vikubwa vya Polisi tu. Hata yeye mwanzoni aliwaambia ndugu zake wakaombe kwenye Internet cafe lakini katika database za Polisi majina yao yalikuwa hayapo.

Hivyo akawachukua na kuwapeleka mkoani kituo kikubwa cha Polisi na wakafanikiwa kufanya maombi.

Anasema kwa mkoa aliyokuwepo alikuta kuna watu watatu tu ambao ndio wapo kwenye MFumo walioomba nafasi.

Kama Bado ujafanikiwa jaribu kufika katika ktuo kikubwa cha Polisi katika mkoa wako. Maana wapo wengi waliotuma lakini katika mifumo yao maombi hayafiki.

Na kingine hichi kuna mtu kanieleza kuwa alijaribu kuomba kwa Link ambayo si ile ya Polisi waliyotoa lakini akaitumia sababu wengi wanatumia. Alipokuja kupitia vzuri Cv zake na taarifa zingine akakuta mafaili tofauti na vitu vyake.

Kama una nafasi kesho ni mwisho fika Polisi Kituo chochote kikubwa kilichopo mkoani mwako muulizie taratibu zinakuwaje.

Usiku mwema wakuu.
mikongo yenyewe inang'atwa na samaki
 
Tarehe 10/05/2024 Polisi Tanzania walitoa tangazao la kazi kwa vijana wa kitanzania waliohitimu Shule ya Upili Mwaka 2018 na kuendelea.

Deadline ya lile tangazo ilikuwa Mei 16, hivyo kwa sababu za kimitandao kufeli ku-access ikawa ngumu kwa sisi wenye matamanio ya kufanya kazi za Kipolisi kwa maslahi mapana ya Taifa letu kuomba nafasi.

Serikali iliweka wazi kuwa changamoto ya kimtandao ambayo iliathiri Nchi nzima ilichangia kuathiri.

Tunashukuru Jeshi la Polisi, juzikati liliongeza siku 6 nyingine mbele hadi tarehe 21/05/2024 ili kufidia hizi siku mbazo network ilikuwa inafeli, sasa cha ajabu mpaka sasa Portal yao haiingiliki kabisa na siku zinazidi kuisha.

Nashauri watafute mbinu mbadala ya kuwasilisha maombi kwa kuwa tunaoumia ni wengi.

Sasa hivi shida sio Mtandao tena kama ilivyokuwa awali, sasa hivi ni Mfumo wao wa Portal unazingua, ndio tatizo.

Ukifungua tovuti yao ya Polisi (ajira2.tpf.go.tz) italeta sehemu ya kujaza candidate Name, Email, Password kisha unabonyeza create.

Baada ya hapo inataleta sehemu ya kujaza NIN (NIDA), ukijaza NIDA ina search kama kwa dakika 4+ kisha inakwambia “no found details check your NIN”.

Hapo ndio panashida, inaonesha kanzidata ya Police haiwezi ku-trape taarifa kutoka kwenye Kanzidata ya NIDA.

Poleni sana...
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...


Cc: Mahondaw
Polisi wengi zaidi akiwamo na boss wao mkubwa kabisa wa juu ni BBC (born before computer), Mimi sishangai hata kidogo kuona haya mapungufu makubwa yaliyojitokeza.
 
Wakuu Heshima mbele.

Usiku huu nimetoka kuongea na Polisi mmoja Kanda ya kusini na ana cheo.

Anasema hivi Polisi kwa sasa wana mkongo wao, hivyo maombi yanafanyika katika vituo vikubwa vya Polisi tu. Hata yeye mwanzoni aliwaambia ndugu zake wakaombe kwenye Internet cafe lakini katika database za Polisi majina yao yalikuwa hayapo.

Hivyo akawachukua na kuwapeleka mkoani kituo kikubwa cha Polisi na wakafanikiwa kufanya maombi.

Anasema kwa mkoa aliyokuwepo alikuta kuna watu watatu tu ambao ndio wapo kwenye MFumo walioomba nafasi.

Kama Bado ujafanikiwa jaribu kufika katika ktuo kikubwa cha Polisi katika mkoa wako. Maana wapo wengi waliotuma lakini katika mifumo yao maombi hayafiki.

Na kingine hichi kuna mtu kanieleza kuwa alijaribu kuomba kwa Link ambayo si ile ya Polisi waliyotoa lakini akaitumia sababu wengi wanatumia. Alipokuja kupitia vzuri Cv zake na taarifa zingine akakuta mafaili tofauti na vitu vyake.

Kama una nafasi kesho ni mwisho fika Polisi Kituo chochote kikubwa kilichopo mkoani mwako muulizie taratibu zinakuwaje.

Usiku mwema wakuu.
Mkuu hii mbona hatari sasa
 
Back
Top Bottom