Nokia3D
Member
- Feb 2, 2013
- 74
- 1
Kutokana na mfumo duni wa elimu na ubabaishaji wa mitaala kwa elimu ya tanzania ndio chanzo cha matokeo mabaya.
WATAHINIWA 2012 wengi wao wamepata div 0.je serikali ina mpango gani?? Zaid ya watahini 200,000 wafeli,Je tutarajie nini miaka mitatu minne mbeleni kama si ujambazi!!
Watahini 23000 (6%) wafaulu.kuna shule zaidi ya 300 za advnc,swali je shule zitakidhi matakwa ya kupata wanafunz zaidi ya 50??
2015 watahini hawa watafanya mtihani kidato cha 6.je watakao faulu watakidhi tena matakwa ya vyuo vikuu 2livyo navyo??
NI HAYO 2 MENGI YAPO ILA 60% ya walio feli WANAENDA WAPI??
WATAHINIWA 2012 wengi wao wamepata div 0.je serikali ina mpango gani?? Zaid ya watahini 200,000 wafeli,Je tutarajie nini miaka mitatu minne mbeleni kama si ujambazi!!
Watahini 23000 (6%) wafaulu.kuna shule zaidi ya 300 za advnc,swali je shule zitakidhi matakwa ya kupata wanafunz zaidi ya 50??
2015 watahini hawa watafanya mtihani kidato cha 6.je watakao faulu watakidhi tena matakwa ya vyuo vikuu 2livyo navyo??
NI HAYO 2 MENGI YAPO ILA 60% ya walio feli WANAENDA WAPI??