Mfumo wa elimu Tanzania unafanya wenye vipaji kuonekana hawana akili, kitu ambacho si kweli

Mfumo wa elimu Tanzania unafanya wenye vipaji kuonekana hawana akili, kitu ambacho si kweli

hudyrawaaah

Member
Joined
Nov 13, 2021
Posts
12
Reaction score
10
Daktar anapoingia chumba chenye wagonjwa tofauti tofauti halafu wote akawapa dawa ya malaria hii inamana kuwa watakao pona ni wenye malaria tu wengine atakuwa hajawasaidia.

Hicho ndio kinacho tokea shuleni kwa sababu Tiba inayotolewa inalenga kuwa tibu wanafunzi wenye logical na linguistic intelligence tu sisi wenye vipaji tofauti lazima tuonekane hatuna akili kitu ambacho sio kweli
 
Relax mdogo wangu, kufeli shule sio kufeli maisha, bado unasoma?
 
Ahhhh mimi nawesem wanafunzi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom