thegreat_ommy
New Member
- Jun 19, 2024
- 1
- 0
Ongezeko la watoto wa mitaani ni moja kati ya changamoto kubwa amabayo inahitaji jitihada kubwa katika Nchi ya Tanzania ,kuongezeka kwa watoto wa mitaani kuna sababishwa na mambo mingi sana ambayo yako nje ya uwezo wa watoto hao na wazazi kiujumla . Miongoni mwa sababu amabazo zina pelekea ongezeko hilo la chokoraa nikama zifuatazo
- Mfumo wa elimu wa tanzania .
- kuvunjika kwa familia.
- Kazi za watoto.
- kutengwa na jamii
- kuhama kwasababu ya majanga .
- Umasikini.
MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA:
Upvote
4