Mfumo wa kufanya maombi uliopotea

Mfumo wa kufanya maombi uliopotea

Kaparo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
2,072
Reaction score
5,053
Salaam kwa wote,
Binadamu tumekuwa tukijihusisha na kufanya maombi kwa namna mbalimbali yenye malengo tofauti kutokana na mahitaji ya muhusika.
"Kuna kitu mahala hapo" nje ya uwezo wetu na namna ya kufikiri ambacho uwepo wake ama nguvu yake hauwezi kulinganishwa na kitu chochote. Tunakiongelea, Tunakihisi, Tunakiamini na kukiomba pia yawezekana bila hata ya kukielewa vizuri kwamba ni nini haswa.

Tunakiita kwa majina mengi kutokana na namna ambavyo kila mtu kwa imani yake ameweza kukiwekea "label" anayoitaka lakini kinasimama na kubakia na maana ile ile japo kuna mitizamo na mikanganyiko tofauti.
Tamaduni za kale hapa duniani zilielewa na kutambua uwepo wake katika nyanja tofauti na jinsi ya kukitumia katika maisha yao ya kila siku. Kupitia maneno na maandishi ya zamani waliacha maelekezo kwa jamii zao mbinu na jinsi ya kutumia nguvu isiyoonekana kuponya miili yetu, kustawisha mahusiano baina yetu pamoja na kuleta amani katika ulimwengu huu.

Maombi ni lugha ya Mungu na malaika wake. (Ndiyo,sisi ni malaika wa duniani)

AINA NNE ZA MAOMBI AMBAZO ZINAFANYIKA KWA WAKATI HUU ULIMWENGUNI.

  1. 1. Colloquial prayer
Haya ni maombi ambayo siyo rasmi kwa kuwa tunaongea na Mungu kwa mfumo wa maneno yetu binafsi wakati ambao tunakua na uhitaji fulani.

  1. 2. Ritualistic prayer
Katika maombi ya namna hii tunatumia set ya maneno fulani kama maombi kwa wakati maalumu ndani ya siku,mwezi au mwaka.
Mfano katika siku (wakati wa kula,Kuamka na hata kabla
kulala)

  1. 3. Petitionary prayer

Haya ni maombi ambayo hufanyika rasmi ili kuomba mamlaka fulani ifanyike kutokana na tukio ama uponyaji.

  1. 4. Meditative prayer
Maombi haya hayana maneno. Hufanyika kwa kuwa na uelewa wa vitu vinavyotuzunguka na kuwa mojawapo ya vile vinavyotuzunguka. (We simply become aware of the presence that permeates the world around us and become a part of that presence)

Kuna ya tano, iliyopotea ambayo ndiyo msingi wa uzi huu.

MAOMBI YALIYOPOTEA.

Tunajikuta tukifanya mambo tofauti ambayo baadae hutuumiza kama viumbe ambao wote tuko "connected" kwenye same quantum hologram kwa namna moja ama nyingine kwani unaposababisha maafa kwa mwingine tunafikiria tunasababisha kwao "THEM" Ilihali kiuhalisia hakuna tofauti kati ya wao na sisi".
Ukizungumzia concept ya quantum hologram inaonesha kwamba sisi wote na kila mmoja wetu ni muhimu katika matokeo ya maisha yetu na ulimwengu kiujumla.
Machaguo tunayoyafanya kila wakati yanageuka kuwa majibu ya tunakumbana nayo mbeleni.
Hivyo basi kupitia quantum hologram, maamuzi tunayoyafanya sasa yanaakisiwa kwa namna yake, hivyo basi inatupasa kuishi kila kitu katika kuakisi yale tunayopenda yatokee na kutuzunguka katika maisha yetu.
Alisema mwanasayansi John Wheeler kwamba " we are tiny patches of a universe that is building itself along the way"

OUR LOST MODE OF PLAYER
  1. 5. Feeling

Katika vitabu vya zamani vya kikiristu na Gnostic vimeandika kuhusu hili.
Mfano ukiangalia katika tafsiri ya biblia ya kitabu cha (John 16:24) kabla ya kuwa condensed na kuhaririwa mara kwa mara utaona
"Whatsover ye ask the Father in my name, he will give it to you. Hitherto have ye asked nothing in my name: Ask and ye shall receive, that your joy may be full" --> Kwa version ya King James ila tukilinganisha na mistari halisi tutaona kwamba kuna kitu kinakosekana
"All things that you ask straightly,direct...from inside my name, you will be given.
So far you have not done this. Ask without hidden motive and be surrounded by your answer.
Be enveloped by what you desire, that your gladness be full"
.

Katika maneno haya tunakumbushwa kwamba maombi si tu ni kitu tunachokifanya kwa wakati fulani katika siku, Bali maombi ni consciouness. Ikimaanisha ni hali tunayokuepo nayo kwa wakati uliopo (state of being that we are in) rather than something that we do at a certain time of a day.

Hivyo basi katika maombi inatupaswa tuhusishe milango ya fahamu, pia uhusishe nguvu ya mawazo (thought), emotion na feelings ili tupate tunachokikusudia katika maombi.
Kwa mfano; Iwapo unaomba mvua ama kitu tofauti fanya hivi,
(ukihusisha senses,emotion,feeling)
A. MVUA
- Kuwa na hisia kuhusiana na namna ambavyo mvua ilivyo,
-Hamishia mvua katika mwili wako,
-Sogea katika kuhisi ambavyo inakuwa wakati unapokua umekanyaga nje na miguu peku katika eneo lako,
- Kuwa na hisia ya harufu ya udongo pindi mvua inaponyesha mahala husika na kuwa na maono jinsi ambavyo mimea na mazao yamestawi katika eneo lako baada ya mvua.


Baada ya maombi hayo inapaswa ujihusishe katika kutoa shukhurani na appreciation yako katika maombi kwani umekua ni sehemu ya uumbaji wa mvua, kama "amen" kwa wakiristo.
Hivyo yatupasa tujifunike na kuzungukwa na majibu ya kile ambacho tumekifanya kuwa tayari tumekipata(receiving) kuliko kukaa na kusubiri miujiza itokee kwani (asking) pekee haitoshelezi katika maombi.


Simply, "Pray rain and not pray for the rain"

UTAFITI KUHUSIANA NA FEELING TOWARDS PRAYER
Mwaka 1972, Miji 24 ya marekani yaliyokuwa na watu zaidi ya elfu kumi walipata mabadiliko kutokana na maombi ya namna hii katika miji yao kwani watu mia moja katika kila mji walihudhuria maombi hayo.
Mfano mwingine katika study nyingine ya
THE INTERNATIONAL PEACE PROJECT IN THE MIDDLE EAST iliyofanyika miaka ya 1980 na ilichapishwa katika
THE JOURNAL OF CONFLICT RESOLUTION IN 1988Kipindi cha Israel-Lebanese war miaka ya 1980s, watafiti walifundisha watu kuhisi amani katika miili yao(feel peace in their body rather than simply think about peace in their minds or pray for peace to occur) kuliko kufikiria kuhusu amani katika akili zao au kuomba kwa ajili ya uwepo wa amani.
Katika siku maalum za mwezi na saa maalumu watu waliwekwa katika maeneo yaliyoharibiwa na vita.
Katika kipindi walichoendelea na maombi hayo shughuli za kigaidi zilipungua kama sio kusimama, vitendo vya uhalifu zilipungua, idadi ya wagonjwa mahututi walipungua hospitali, ajali za barabarani pia zilipungua kwa kiasi kikubwa.

KILICHOTOKEA BAADA YA WATU KUACHA KUFANYA RESEARCH HII NA KU EXPRESS PEACE FEELINGS, TAKWIMU ZILIGEUKA NA KUWA KAMA WAMEFUNGULIA BOMBA LA MAOVU.
Tafiti hizi zinaonesha matokeo kuwa "wakati ambapo idadi ndogo ya watu walikua wanakuwa na amani ndani yao the peace was reflected back to the larger community.
Ilibidi tafiti nyingine ifanyike kuhusu ni kwa kiasi gani ama namba ipi ya watu wanahitajika ili waweze kuleta amani katika eneo husika, ili amani hiyo iwarudie watu wote kwa ujumla. Ikafamika kuwa ni square root ya asilimia moja ya watu wote.
Mfano katika mji watu milioni moja wanahitajika watu 100 ili kuomba amani.

Hivyo basi hii inaonesha maombi hayambadilishi Mungu Bali Sisi tunaomuomba, pia kabla ya kuhoji Ni nini kinatokea duniani yatupasa tujitathmini kwamba ndani yetu ni nini kinaendelea kwani,
"the spiritual mirror of the Mind of God that reflects back to us what we've become in our thoughts, feelings, emotions, and beliefs.
In other words, our inner experiences of hurt and fear, as well as those of love and compassion, become the theme for the kind of relationships that we find in our jobs and friendships, as well as our expressions of abundance, and even our health"


Swali: JE,WEWE UNAOMBA KWA NAMNA GANI?
ukiuliza swali hili wengi tutakujibu kwamba tunarudia sala tofauti tofauti. Lakini yatupasa tuwe na namna ya kuongea na Mungu, universe, infinite intelligence (you label it the way you can) namna ambayo inaeleweka na itajibika.
kwa mfano ;
Mungu alimwambia musa namna ambayo waisraeli wanapaswa kumuomba,
"May Yahweh bless you and keep you.
May Yahweh let his face shine on you and be gracious to you.
May Yahweh show you his face and bring you peace."

Kisha akamalizia kwa kusema,
"This is how you must call down my
name . . . and then I shall bless them."


Simply, talk to the universe the language that it understands.

Nawasilisha,
Karibuni wadau wote.
 
Sasa hivi kuna Meditation au tahajud nadhani inafanana na maombi hayo au ile ya wahindi wanayoiadhimisha kila mwaka Duniani kote.
Meditation ni njia moja wapo bora ya maombi ambapo unakifikiria kitu ambacho unakihitaji kwa hisia za ndani saana mwisho wa siku unapata majibu
 
asante kwa kuniita maoni na maswali yanafuata hivi punde. Hongera kwa kuanzisha mada nzuri
 
Mr Q ngoja wadau wakifika tutapata kuelewa mengi..
 
Ahsante kwa kuniita mkuu@kaparo mada ni nzuri Sana. Mi naona waombaji wengi hatuna viwango ivyo na tunawasiliana na Mungu kimazoea na hata tunachokiomba hatukiamini ndomana unaweza ukakuta unaliomba jambo moja Mara nyingi, ile Hali ya wakati unaomba kuwa katika uwepo na kusahau Kila kitu katika akili yako na kuweka katika ubongo lile unaloliomba tuu pia kuhisi unaloliomba tayari lishakua lako na unaliona, watu wengi hatuna viwango ivyo na ndomana baada ya maombi ni wachache Sana wanaotoa sadaka ya shukrani ya kile alichokiomba hii inadhiirisha bado tunakosea mawasiliano yetu na Mungu katika maombi.
 
Mkuu, magagafu kuna vitu vya tofauti inatupasa tujifunze wakati tunafanya maombi, kwani tunafanya vitu kwa mazoea na kusubiria majibu.
Kwa mfano, huwezi ukawa unaomba amani na upendo wakati moyoni kwako kwa wakati huo umejaza chuki na husda.. tukitegemea amani itokee kwenye physical world wakati ulimwengu wetu huu wa nje huakisi kile kilichoko ndani yetu.
 
Mkuu, magagafu kuna vitu vya tofauti inatupasa tujifunze wakati tunafanya maombi, kwani tunafanya vitu kwa mazoea na kusubiria majibu.
Kwa mfano, huwezi ukawa unaomba amani na upendo wakati moyoni kwako kwa wakati huo umejaza chuki na husda.. tukitegemea amani itokee kwenye physical world wakati ulimwengu wetu huu wa nje huakisi kile kilichoko ndani yetu.
Hapo ndo ugumu unapoanzia ndomana kabla ya Maombi tunashauriwa tufanye Toba au kujitakasa halafu ndo tuingie kwenye Maombi Sasa tatizo linakuja kwenye mioyo yetu kuachilia Mambo yanatoyotuzunguka mfano Hali ngumu ya maisha,madeni hii inasababisha shetani kucheza na sisi kwenye ufahamu wetu

Ukisoma vizuri 2kor 10:4-5 "Maana silaha za Vita vyetu si za mwili,Bali Zina uwezo katika Mungu hata ngome;tukiangusha mawazo na Kila kitu kilichoinuka,kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu;na tukiteka nyara Kila fikra ipate kumtii kristo" hoja yangu katika mstari huu ni kwamba shetani anacheza na sisi katika fikra pale tunapokua kwenye Maombi ndomana unaweza ukawa katika maombi yakaja mawazo mengine Kati Kati ili tuu kukutoa katika viwango vile ambavyo anaona utavifikia na kumshinda. Ukisoma injili ya mathayo 16:21-23 unaona Yesu wakati anawaambia habari ya kifo chake na siku ya tatu kufufuka Petro alikua anampa moyo kwa kumfariji Yesu kwamba kifo hakitampata lakini Yesu alimkemea kwani alijua shetani alingia katika fikra za Petro .
 
Mada nzuri sana hii watu kuomba huwa tunajisahau tukisema kila kitu tunamuachia Mungu lakini kiukweli inabidi kuamini kwanza kabla ya kuomba hapo ndipo kitatokea mtu anachokiomba ila bila Imani hakuna kitu
 
Salaam kwa wote,
Binadamu tumekuwa tukijihusisha na kufanya maombi kwa namna mbalimbali yenye malengo tofauti kutokana na mahitaji ya muhusika.
"Kuna kitu mahala hapo" nje ya uwezo wetu na namna ya kufikiri ambacho uwepo wake ama nguvu yake hauwezi kulinganishwa na kitu chochote. Tunakiongelea, Tunakihisi, Tunakiamini na kukiomba pia yawezekana bila hata ya kukielewa vizuri kwamba ni nini haswa.

Tunakiita kwa majina mengi kutokana na namna ambavyo kila mtu kwa imani yake ameweza kukiwekea "label" anayoitaka lakini kinasimama na kubakia na maana ile ile japo kuna mitizamo na mikanganyiko tofauti.
Tamaduni za kale hapa duniani zilielewa na kutambua uwepo wake katika nyanja tofauti na jinsi ya kukitumia katika maisha yao ya kila siku. Kupitia maneno na maandishi ya zamani waliacha maelekezo kwa jamii zao mbinu na jinsi ya kutumia nguvu isiyoonekana kuponya miili yetu, kustawisha mahusiano baina yetu pamoja na kuleta amani katika ulimwengu huu.

Maombi ni lugha ya Mungu na malaika wake. (Ndiyo,sisi ni malaika wa duniani)

AINA NNE ZA MAOMBI AMBAZO ZINAFANYIKA KWA WAKATI HUU ULIMWENGUNI.

  1. 1. Colloquial prayer
Haya ni maombi ambayo siyo rasmi kwa kuwa tunaongea na Mungu kwa mfumo wa maneno yetu binafsi wakati ambao tunakua na uhitaji fulani.

  1. 2. Ritualistic prayer
Katika maombi ya namna hii tunatumia set ya maneno fulani kama maombi kwa wakati maalumu ndani ya siku,mwezi au mwaka.
Mfano katika siku (wakati wa kula,Kuamka na hata kabla
kulala)

  1. 3. Petitionary prayer

Haya ni maombi ambayo hufanyika rasmi ili kuomba mamlaka fulani ifanyike kutokana na tukio ama uponyaji.

  1. 4. Meditative prayer
Maombi haya hayana maneno. Hufanyika kwa kuwa na uelewa wa vitu vinavyotuzunguka na kuwa mojawapo ya vile vinavyotuzunguka. (We simply become aware of the presence that permeates the world around us and become a part of that presence)

Kuna ya tano, iliyopotea ambayo ndiyo msingi wa uzi huu.

MAOMBI YALIYOPOTEA.

Tunajikuta tukifanya mambo tofauti ambayo baadae hutuumiza kama viumbe ambao wote tuko "connected" kwenye same quantum hologram kwa namna moja ama nyingine kwani unaposababisha maafa kwa mwingine tunafikiria tunasababisha kwao "THEM" Ilihali kiuhalisia hakuna tofauti kati ya wao na sisi".
Ukizungumzia concept ya quantum hologram inaonesha kwamba sisi wote na kila mmoja wetu ni muhimu katika matokeo ya maisha yetu na ulimwengu kiujumla.
Machaguo tunayoyafanya kila wakati yanageuka kuwa majibu ya tunakumbana nayo mbeleni.
Hivyo basi kupitia quantum hologram, maamuzi tunayoyafanya sasa yanaakisiwa kwa namna yake, hivyo basi inatupasa kuishi kila kitu katika kuakisi yale tunayopenda yatokee na kutuzunguka katika maisha yetu.
Alisema mwanasayansi John Wheeler kwamba " we are tiny patches of a universe that is building itself along the way"

OUR LOST MODE OF PLAYER
  1. 5. Feeling

Katika vitabu vya zamani vya kikiristu na Gnostic vimeandika kuhusu hili.
Mfano ukiangalia katika tafsiri ya biblia ya kitabu cha (John 16:24) kabla ya kuwa condensed na kuhaririwa mara kwa mara utaona
"Whatsover ye ask the Father in my name, he will give it to you. Hitherto have ye asked nothing in my name: Ask and ye shall receive, that your joy may be full" --> Kwa version ya King James ila tukilinganisha na mistari halisi tutaona kwamba kuna kitu kinakosekana
"All things that you ask straightly,direct...from inside my name, you will be given.
So far you have not done this. Ask without hidden motive and be surrounded by your answer.
Be enveloped by what you desire, that your gladness be full"
.

Katika maneno haya tunakumbushwa kwamba maombi si tu ni kitu tunachokifanya kwa wakati fulani katika siku, Bali maombi ni consciouness. Ikimaanisha ni hali tunayokuepo nayo kwa wakati uliopo (state of being that we are in) rather than something that we do at a certain time of a day.

Hivyo basi katika maombi inatupaswa tuhusishe milango ya fahamu, pia uhusishe nguvu ya mawazo (thought), emotion na feelings ili tupate tunachokikusudia katika maombi.
Kwa mfano; Iwapo unaomba mvua ama kitu tofauti fanya hivi,
(ukihusisha senses,emotion,feeling)
A. MVUA
- Kuwa na hisia kuhusiana na namna ambavyo mvua ilivyo,
-Hamishia mvua katika mwili wako,
-Sogea katika kuhisi ambavyo inakuwa wakati unapokua umekanyaga nje na miguu peku katika eneo lako,
- Kuwa na hisia ya harufu ya udongo pindi mvua inaponyesha mahala husika na kuwa na maono jinsi ambavyo mimea na mazao yamestawi katika eneo lako baada ya mvua.


Baada ya maombi hayo inapaswa ujihusishe katika kutoa shukhurani na appreciation yako katika maombi kwani umekua ni sehemu ya uumbaji wa mvua, kama "amen" kwa wakiristo.
Hivyo yatupasa tujifunike na kuzungukwa na majibu ya kile ambacho tumekifanya kuwa tayari tumekipata(receiving) kuliko kukaa na kusubiri miujiza itokee kwani (asking) pekee haitoshelezi katika maombi.


Simply, "Pray rain and not pray for the rain"

UTAFITI KUHUSIANA NA FEELING TOWARDS PRAYER
Mwaka 1972, Miji 24 ya marekani yaliyokuwa na watu zaidi ya elfu kumi walipata mabadiliko kutokana na maombi ya namna hii katika miji yao kwani watu mia moja katika kila mji walihudhuria maombi hayo.
Mfano mwingine katika study nyingine ya
THE INTERNATIONAL PEACE PROJECT IN THE MIDDLE EAST iliyofanyika miaka ya 1980 na ilichapishwa katika
THE JOURNAL OF CONFLICT RESOLUTION IN 1988Kipindi cha Israel-Lebanese war miaka ya 1980s, watafiti walifundisha watu kuhisi amani katika miili yao(feel peace in their body rather than simply think about peace in their minds or pray for peace to occur) kuliko kufikiria kuhusu amani katika akili zao au kuomba kwa ajili ya uwepo wa amani.
Katika siku maalum za mwezi na saa maalumu watu waliwekwa katika maeneo yaliyoharibiwa na vita.
Katika kipindi walichoendelea na maombi hayo shughuli za kigaidi zilipungua kama sio kusimama, vitendo vya uhalifu zilipungua, idadi ya wagonjwa mahututi walipungua hospitali, ajali za barabarani pia zilipungua kwa kiasi kikubwa.

KILICHOTOKEA BAADA YA WATU KUACHA KUFANYA RESEARCH HII NA KU EXPRESS PEACE FEELINGS, TAKWIMU ZILIGEUKA NA KUWA KAMA WAMEFUNGULIA BOMBA LA MAOVU.
Tafiti hizi zinaonesha matokeo kuwa "wakati ambapo idadi ndogo ya watu walikua wanakuwa na amani ndani yao the peace was reflected back to the larger community.
Ilibidi tafiti nyingine ifanyike kuhusu ni kwa kiasi gani ama namba ipi ya watu wanahitajika ili waweze kuleta amani katika eneo husika, ili amani hiyo iwarudie watu wote kwa ujumla. Ikafamika kuwa ni square root ya asilimia moja ya watu wote.
Mfano katika mji watu milioni moja wanahitajika watu 100 ili kuomba amani.

Hivyo basi hii inaonesha maombi hayambadilishi Mungu Bali Sisi tunaomuomba, pia kabla ya kuhoji Ni nini kinatokea duniani yatupasa tujitathmini kwamba ndani yetu ni nini kinaendelea kwani,
"the spiritual mirror of the Mind of God that reflects back to us what we've become in our thoughts, feelings, emotions, and beliefs.
In other words, our inner experiences of hurt and fear, as well as those of love and compassion, become the theme for the kind of relationships that we find in our jobs and friendships, as well as our expressions of abundance, and even our health"


Swali: JE,WEWE UNAOMBA KWA NAMNA GANI?
ukiuliza swali hili wengi tutakujibu kwamba tunarudia sala tofauti tofauti. Lakini yatupasa tuwe na namna ya kuongea na Mungu, universe, infinite intelligence (you label it the way you can) namna ambayo inaeleweka na itajibika.
kwa mfano ;
Mungu alimwambia musa namna ambayo waisraeli wanapaswa kumuomba,
"May Yahweh bless you and keep you.
May Yahweh let his face shine on you and be gracious to you.
May Yahweh show you his face and bring you peace."

Kisha akamalizia kwa kusema,
"This is how you must call down my
name . . . and then I shall bless them."


Simply, talk to the universe the language that it understands.

Nawasilisha,
Karibuni wadau wote.
Hamna sehemu nakwazika kama kuona kiingereza kwenye mada nzuri Kama hii najiulizaga ni maarifa au Akili umetumia???
 
Mhhhhh... Maombi mazuri in usiku wa maneno haya maneno yana ukweli?
 
Mpaka sasa ni mkristo ila najikutaga siwezi kuomba maana nashindwa nimuombe Nani kati ya Yesu au Mungu.
Mbona maandiko yapo wazi ukisoma injili ya Yohana vizuri inakupa majibu yako...hata mtoa mada ameweka andiko kuonyesha uombe kuoitia Nani injili ya Yohana 16:24,kwa ufupi Kama mkristo ukiwa unaomba lazima utaje jina la Yesu katika Maombi yako Mungu kashatoa hayo mamlaka kupitia jina la Yesu kristo. Jina la Yesu limebeba mamlaka na nguvu zote hapa duniani na mbinguni.


Ndomana hata pepo ukikemea kwa jina la Mungu ukitaka litoke , litakucheka tu na haliwezi kutoka.
 
Salaam kwa wote,
Binadamu tumekuwa tukijihusisha na kufanya maombi kwa namna mbalimbali yenye malengo tofauti kutokana na mahitaji ya muhusika.
"Kuna kitu mahala hapo" nje ya uwezo wetu na namna ya kufikiri ambacho uwepo wake ama nguvu yake hauwezi kulinganishwa na kitu chochote. Tunakiongelea, Tunakihisi, Tunakiamini na kukiomba pia yawezekana bila hata ya kukielewa vizuri kwamba ni nini haswa.

Tunakiita kwa majina mengi kutokana na namna ambavyo kila mtu kwa imani yake ameweza kukiwekea "label" anayoitaka lakini kinasimama na kubakia na maana ile ile japo kuna mitizamo na mikanganyiko tofauti.
Tamaduni za kale hapa duniani zilielewa na kutambua uwepo wake katika nyanja tofauti na jinsi ya kukitumia katika maisha yao ya kila siku. Kupitia maneno na maandishi ya zamani waliacha maelekezo kwa jamii zao mbinu na jinsi ya kutumia nguvu isiyoonekana kuponya miili yetu, kustawisha mahusiano baina yetu pamoja na kuleta amani katika ulimwengu huu.

Maombi ni lugha ya Mungu na malaika wake. (Ndiyo,sisi ni malaika wa duniani)

AINA NNE ZA MAOMBI AMBAZO ZINAFANYIKA KWA WAKATI HUU ULIMWENGUNI.

  1. 1. Colloquial prayer
Haya ni maombi ambayo siyo rasmi kwa kuwa tunaongea na Mungu kwa mfumo wa maneno yetu binafsi wakati ambao tunakua na uhitaji fulani.

  1. 2. Ritualistic prayer
Katika maombi ya namna hii tunatumia set ya maneno fulani kama maombi kwa wakati maalumu ndani ya siku,mwezi au mwaka.
Mfano katika siku (wakati wa kula,Kuamka na hata kabla
kulala)

  1. 3. Petitionary prayer

Haya ni maombi ambayo hufanyika rasmi ili kuomba mamlaka fulani ifanyike kutokana na tukio ama uponyaji.

  1. 4. Meditative prayer
Maombi haya hayana maneno. Hufanyika kwa kuwa na uelewa wa vitu vinavyotuzunguka na kuwa mojawapo ya vile vinavyotuzunguka. (We simply become aware of the presence that permeates the world around us and become a part of that presence)

Kuna ya tano, iliyopotea ambayo ndiyo msingi wa uzi huu.

MAOMBI YALIYOPOTEA.

Tunajikuta tukifanya mambo tofauti ambayo baadae hutuumiza kama viumbe ambao wote tuko "connected" kwenye same quantum hologram kwa namna moja ama nyingine kwani unaposababisha maafa kwa mwingine tunafikiria tunasababisha kwao "THEM" Ilihali kiuhalisia hakuna tofauti kati ya wao na sisi".
Ukizungumzia concept ya quantum hologram inaonesha kwamba sisi wote na kila mmoja wetu ni muhimu katika matokeo ya maisha yetu na ulimwengu kiujumla.
Machaguo tunayoyafanya kila wakati yanageuka kuwa majibu ya tunakumbana nayo mbeleni.
Hivyo basi kupitia quantum hologram, maamuzi tunayoyafanya sasa yanaakisiwa kwa namna yake, hivyo basi inatupasa kuishi kila kitu katika kuakisi yale tunayopenda yatokee na kutuzunguka katika maisha yetu.
Alisema mwanasayansi John Wheeler kwamba " we are tiny patches of a universe that is building itself along the way"

OUR LOST MODE OF PLAYER
  1. 5. Feeling

Katika vitabu vya zamani vya kikiristu na Gnostic vimeandika kuhusu hili.
Mfano ukiangalia katika tafsiri ya biblia ya kitabu cha (John 16:24) kabla ya kuwa condensed na kuhaririwa mara kwa mara utaona
"Whatsover ye ask the Father in my name, he will give it to you. Hitherto have ye asked nothing in my name: Ask and ye shall receive, that your joy may be full" --> Kwa version ya King James ila tukilinganisha na mistari halisi tutaona kwamba kuna kitu kinakosekana
"All things that you ask straightly,direct...from inside my name, you will be given.
So far you have not done this. Ask without hidden motive and be surrounded by your answer.
Be enveloped by what you desire, that your gladness be full"
.

Katika maneno haya tunakumbushwa kwamba maombi si tu ni kitu tunachokifanya kwa wakati fulani katika siku, Bali maombi ni consciouness. Ikimaanisha ni hali tunayokuepo nayo kwa wakati uliopo (state of being that we are in) rather than something that we do at a certain time of a day.

Hivyo basi katika maombi inatupaswa tuhusishe milango ya fahamu, pia uhusishe nguvu ya mawazo (thought), emotion na feelings ili tupate tunachokikusudia katika maombi.
Kwa mfano; Iwapo unaomba mvua ama kitu tofauti fanya hivi,
(ukihusisha senses,emotion,feeling)
A. MVUA
- Kuwa na hisia kuhusiana na namna ambavyo mvua ilivyo,
-Hamishia mvua katika mwili wako,
-Sogea katika kuhisi ambavyo inakuwa wakati unapokua umekanyaga nje na miguu peku katika eneo lako,
- Kuwa na hisia ya harufu ya udongo pindi mvua inaponyesha mahala husika na kuwa na maono jinsi ambavyo mimea na mazao yamestawi katika eneo lako baada ya mvua.


Baada ya maombi hayo inapaswa ujihusishe katika kutoa shukhurani na appreciation yako katika maombi kwani umekua ni sehemu ya uumbaji wa mvua, kama "amen" kwa wakiristo.
Hivyo yatupasa tujifunike na kuzungukwa na majibu ya kile ambacho tumekifanya kuwa tayari tumekipata(receiving) kuliko kukaa na kusubiri miujiza itokee kwani (asking) pekee haitoshelezi katika maombi.


Simply, "Pray rain and not pray for the rain"

UTAFITI KUHUSIANA NA FEELING TOWARDS PRAYER
Mwaka 1972, Miji 24 ya marekani yaliyokuwa na watu zaidi ya elfu kumi walipata mabadiliko kutokana na maombi ya namna hii katika miji yao kwani watu mia moja katika kila mji walihudhuria maombi hayo.
Mfano mwingine katika study nyingine ya
THE INTERNATIONAL PEACE PROJECT IN THE MIDDLE EAST iliyofanyika miaka ya 1980 na ilichapishwa katika
THE JOURNAL OF CONFLICT RESOLUTION IN 1988Kipindi cha Israel-Lebanese war miaka ya 1980s, watafiti walifundisha watu kuhisi amani katika miili yao(feel peace in their body rather than simply think about peace in their minds or pray for peace to occur) kuliko kufikiria kuhusu amani katika akili zao au kuomba kwa ajili ya uwepo wa amani.
Katika siku maalum za mwezi na saa maalumu watu waliwekwa katika maeneo yaliyoharibiwa na vita.
Katika kipindi walichoendelea na maombi hayo shughuli za kigaidi zilipungua kama sio kusimama, vitendo vya uhalifu zilipungua, idadi ya wagonjwa mahututi walipungua hospitali, ajali za barabarani pia zilipungua kwa kiasi kikubwa.

KILICHOTOKEA BAADA YA WATU KUACHA KUFANYA RESEARCH HII NA KU EXPRESS PEACE FEELINGS, TAKWIMU ZILIGEUKA NA KUWA KAMA WAMEFUNGULIA BOMBA LA MAOVU.
Tafiti hizi zinaonesha matokeo kuwa "wakati ambapo idadi ndogo ya watu walikua wanakuwa na amani ndani yao the peace was reflected back to the larger community.
Ilibidi tafiti nyingine ifanyike kuhusu ni kwa kiasi gani ama namba ipi ya watu wanahitajika ili waweze kuleta amani katika eneo husika, ili amani hiyo iwarudie watu wote kwa ujumla. Ikafamika kuwa ni square root ya asilimia moja ya watu wote.
Mfano katika mji watu milioni moja wanahitajika watu 100 ili kuomba amani.

Hivyo basi hii inaonesha maombi hayambadilishi Mungu Bali Sisi tunaomuomba, pia kabla ya kuhoji Ni nini kinatokea duniani yatupasa tujitathmini kwamba ndani yetu ni nini kinaendelea kwani,
"the spiritual mirror of the Mind of God that reflects back to us what we've become in our thoughts, feelings, emotions, and beliefs.
In other words, our inner experiences of hurt and fear, as well as those of love and compassion, become the theme for the kind of relationships that we find in our jobs and friendships, as well as our expressions of abundance, and even our health"


Swali: JE,WEWE UNAOMBA KWA NAMNA GANI?
ukiuliza swali hili wengi tutakujibu kwamba tunarudia sala tofauti tofauti. Lakini yatupasa tuwe na namna ya kuongea na Mungu, universe, infinite intelligence (you label it the way you can) namna ambayo inaeleweka na itajibika.
kwa mfano ;
Mungu alimwambia musa namna ambayo waisraeli wanapaswa kumuomba,
"May Yahweh bless you and keep you.
May Yahweh let his face shine on you and be gracious to you.
May Yahweh show you his face and bring you peace."

Kisha akamalizia kwa kusema,
"This is how you must call down my
name . . . and then I shall bless them."


Simply, talk to the universe the language that it understands.

Nawasilisha,
Karibuni wadau wote.
KWA WAKRISTO; Kabla ya agano la kale ilikuwa ni muhimu kufanya yote hayo, ila kwa hv sasa hakuna haja ya kuyajua yote hayo kwa sababu yupo ROHO MTAKATIFU muache afanye kaz yake na km utaweka nadhiri bhac hakikisha unaitimiza. Ila kwa wale wenye imani tofaut na UKRISTO wanaweza hitaj kuyajua na kuyafanya yote hayo.
 
KWA WAKRISTO; Kabla ya agano la kale ilikuwa ni muhimu kufanya yote hayo, ila kwa hv sasa hakuna haja ya kuyajua yote hayo kwa sababu yupo ROHO MTAKATIFU muache afanye kaz yake na km utaweka nadhiri bhac hakikisha unaitimiza. Ila kwa wale wenye imani tofaut na UKRISTO wanaweza hitaj kuyajua na kuyafanya yote hayo.
Ila umesoma mada kuanzia mwanzo hadi mwisho?
 
Sisi ni zaidi ya malaika. Ni wana wa Mungu. Malaika wapo kututumikia. Chunguza maandiko vizuri.
 
Back
Top Bottom