A
Anonymous
Guest
Hizi "Parking Fee" zimekuwa na Upigaji ambao haueleweki.
Nimejaribu tu kuingia katika TeRMIS (termis.tamisemi) nikaweka namba yangu ya gari ambayo nimeagiza na imesajiliwa Tarehe 6 mwezi wa 2, 2025 lakini nilishtushwa kuona nadaiwa Pesa ya Parking Mwaka 2024 Mwezi wa 12 na Januari 2025, ambapo inasema maeneo ni Lumumba.
Sijawahi fika huko Lumumba na najiuliza gari ina usajili wa Mwezi wa 2, 2025 lakini deni ni la Mwaka 2024. Mawakala wa Parking wamekuwa na Upigaji ambao ni utakatishaji Fedha.
Gari yangu nyingine inadaiwa Tsh. 86,000 na ambayo maeneo ulipoandikiwa sijawahi kufika.
Tunaomba Mamlaka husika iingilie kati hili ili kuepusha kupotea imani ya walipa kodi. Maana huu ni kama utapeli
Nimejaribu tu kuingia katika TeRMIS (termis.tamisemi) nikaweka namba yangu ya gari ambayo nimeagiza na imesajiliwa Tarehe 6 mwezi wa 2, 2025 lakini nilishtushwa kuona nadaiwa Pesa ya Parking Mwaka 2024 Mwezi wa 12 na Januari 2025, ambapo inasema maeneo ni Lumumba.
Sijawahi fika huko Lumumba na najiuliza gari ina usajili wa Mwezi wa 2, 2025 lakini deni ni la Mwaka 2024. Mawakala wa Parking wamekuwa na Upigaji ambao ni utakatishaji Fedha.
Gari yangu nyingine inadaiwa Tsh. 86,000 na ambayo maeneo ulipoandikiwa sijawahi kufika.
Tunaomba Mamlaka husika iingilie kati hili ili kuepusha kupotea imani ya walipa kodi. Maana huu ni kama utapeli