sio kuwa nawadharau wabongo lakini kiukweli kwenye ishu ya matangazo ya biashara kenya wako vizuri mno. Matangazo yao ni mafupi yanayovutia na kuleta ujumbe Maridhawa. Si vibaya tukaiga kilicho kizuri kwa faida yetu wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.