Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema sekta hiii ipo hoi taabani sana hasa kwenye upande wa waziri na watendaji wake.
Leo tumeona wafanya biashara wanao toa ruzuku ya mbolea wamefutiwa kama 700 na kitu katika maeneo tofauti tofaut hakika hii kitu BASHE anatakiwa ajue tu kuwa wakulima wanapata tabu sana
Je, walitoa elimu kuhusu mfumo ya ruzuku kwa mawakala unavyofanya kazi au wamewafutia tu kisa wao wana nguvu vip mawakala walio kuwa na mbolea? I mean stock je wanapeleka wapi?
Na ukiwafutia leseni je utaratibu wa kurudi kwa biashara ukoje na je wakulima wao shida ya mbolea ikoje? Wafanya biashara kwanza wengi wana mikopo ya ma benk na mikopo ya mbolea kwa makampuni je inakuaje.
TFRA jitazameni na mchunguze kuwa huuu mfumo unatesa wakulima na kuwasumbua wafanya biashara na wizara hii pia BASHE HUTOSHI MKUU ANA PUNGUZA MIHEMUKO UNAUMIZA WAKULIMA NA WAFANYA BISHARA
Leo tumeona wafanya biashara wanao toa ruzuku ya mbolea wamefutiwa kama 700 na kitu katika maeneo tofauti tofaut hakika hii kitu BASHE anatakiwa ajue tu kuwa wakulima wanapata tabu sana
Je, walitoa elimu kuhusu mfumo ya ruzuku kwa mawakala unavyofanya kazi au wamewafutia tu kisa wao wana nguvu vip mawakala walio kuwa na mbolea? I mean stock je wanapeleka wapi?
Na ukiwafutia leseni je utaratibu wa kurudi kwa biashara ukoje na je wakulima wao shida ya mbolea ikoje? Wafanya biashara kwanza wengi wana mikopo ya ma benk na mikopo ya mbolea kwa makampuni je inakuaje.
TFRA jitazameni na mchunguze kuwa huuu mfumo unatesa wakulima na kuwasumbua wafanya biashara na wizara hii pia BASHE HUTOSHI MKUU ANA PUNGUZA MIHEMUKO UNAUMIZA WAKULIMA NA WAFANYA BISHARA