Mfumo wa sasa wa uchumi haumsaidii mfanyabiashara wa kati Tanzania. Wafanyabiashara wa kati ni wale ambao wanaitaji msaada wa Bank ili kuweza kukuza biashara zao. Mfumo wa sasa ni mzuri kwa billionea ambao hawahitaji pesa za bank za Tanzania kuendesha biashara zao na wafanyabiashara wa chini sana kama machinga au bodaboda ambao hawalipi kodi wala kufuata sheria.
Kama tunataka uchumi ukuwe na biashara zikue ni lazima tuwasaidie wafanyabiashara wa kati kwasababu wenyewe ndiyo wanatoa ajira nyingi mfano wauza maduka, gas stations, wenye mabasi ya dalala, maduka ya vifaa, wenye taxi, nyumba za kupanga, daladala, maduka ya nguo, vinyago, wauzo nafaka, wenye malori na magari ya mizigo. Hapa naongelea wenye magari, nyumba chache.
Je shioda gani wanazipata
1. Mikopo ya bank ni ya 15%-25% na ni lazima ulipe hii ni ngumu sana kwasababu mkopo unapanda hata kama huna faida
2. Tax: Tax ya Tanzania iko juu sana na hawa hawawezi kukwepa kama machinga na mabilionea wanaogopeka hivyo TRA wanategemea hii group.
3. Serikali: Kunyanyaswa na kuwa na vibali vingi ambavyo vinaongeza gharama, kodi ambazo haziishi
Hivyo salamu zangu kwa mawaziri ni kufanya jitihada kupunguza riba na kupunguza gharama zisizo za msingi. Nitatoa jinsi ya kupunguza riba.
Kama tunataka uchumi ukuwe na biashara zikue ni lazima tuwasaidie wafanyabiashara wa kati kwasababu wenyewe ndiyo wanatoa ajira nyingi mfano wauza maduka, gas stations, wenye mabasi ya dalala, maduka ya vifaa, wenye taxi, nyumba za kupanga, daladala, maduka ya nguo, vinyago, wauzo nafaka, wenye malori na magari ya mizigo. Hapa naongelea wenye magari, nyumba chache.
Je shioda gani wanazipata
1. Mikopo ya bank ni ya 15%-25% na ni lazima ulipe hii ni ngumu sana kwasababu mkopo unapanda hata kama huna faida
2. Tax: Tax ya Tanzania iko juu sana na hawa hawawezi kukwepa kama machinga na mabilionea wanaogopeka hivyo TRA wanategemea hii group.
3. Serikali: Kunyanyaswa na kuwa na vibali vingi ambavyo vinaongeza gharama, kodi ambazo haziishi
Hivyo salamu zangu kwa mawaziri ni kufanya jitihada kupunguza riba na kupunguza gharama zisizo za msingi. Nitatoa jinsi ya kupunguza riba.