Mfumo wa serkali za mitaa ni mvutano?

Mfumo wa serkali za mitaa ni mvutano?

Omulangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
1,036
Reaction score
267
Hivi serkali za mitaa ni mvutano kati ya wanasiasa na wataalamu? Je mvutano na wakati mwingine uhasama na kutishana katika halmashauri zetu ndio kichocheo cha kuleta maendeleo sehemu zote duniani mfumo huu unapofanya kazi?
 
Back
Top Bottom