Nimekuwa nikitumia barakoa kabla ya ujio wa covid-19, wakati nikifagia mabanda au uani. Ulichokisema ni kweli, muda mwingi utajisikia kukosa hewa.Chagua barakoa au Kaburini
ndugu wewe upo dunia gani kwa sasa au upo plutoπ³ π³πππ π
Sijawahi hata kuigusa hiyo barakaoa naziona tu kwa wengine ndo mkome kuiga vitu vya kizungu.. wenyewe wale ni professional wanajua namna ya kupumulia ndani kwa ndaniπ