Mfumo wetu wa kujitawala ni wa kikoloni

Chalii Wa Kipare

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
462
Reaction score
907
Nimesikia kuna Mwamba kalamba Uteuzi akiwa Kaburini. Ni siku nyingi wadau tumepiga kelele juu ya huu MFUMO wetu wa kujitawala kwamba umepitwa na wakati na NI WA KIKOLONI, cha kushangaza CCM wanatuona hamnazo. Sasa jana Mungu amewaumbua baada ya Maiti kupewa teuzi๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Rais apunguziwe mamlaka mengine, hapa ndipo unapoona umuhimu wa KATIBA MPYA.

Pia soma Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?
 
Aibu ya karne hii ...ila kwa CCM watakuja na propaganda eti mkeka huu uliandaliwa siku nyingi tu....vyeo vya kupeana n shiida...
 
Una umri gani mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ