Mfumo wetu wa mawazo

Mfumo wetu wa mawazo

RuwaIkunda

Senior Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
156
Reaction score
279
"Kitu chochote kinachotokea katika maisha yetu ni lazima kianzie kwenye mfumo wa mawazo na baadaye ndo kinajidhihirisha kwenye mfumo wa hisia.

Ubongo kupitia kwenye milango mitano ya fahamu unapokea taarifa na kuzihifadhi ndani ya mfumo wa fikra/mawazo.

Kinachowatofautisha watu ni namna gani tunavyotafsiri taarifa hizi na jinsi zinavyofanyiwa kazi kwa kila mmoja wetu.

Kwa maana nyingine chochote katika dunia hii kipo jinsi kilivyo kutokana na fikra/mtazamo wetu juu ya kitu hicho.

NAWATAKIA SIKU NJEMA[emoji4]
 
Hakuna jambo baya au zuri bali mtazamo wetu juu ya ubaya au uzuri wa jambo husika ndo unalifanya jambo hilo lionekane baya au zuri."



Sent using Jamii Forums mobile app

Hii kauli tata/ama niseme sio kweli ama haina uhalisia

Mtu anayefanya jambo(mfano mauwaji,ubakaji)...hivi wapo watu wanaochukulia hili jambo in a positive way kweli?yani wapo watu wenye mtazamo mzuri kuhusu ubakaji?
 
Back
Top Bottom