MFUMO YA MALIPO YA SERIKALI (EPIKA 10) HAUFANYI KAZI TANGU MWAKA WA FEDHA UANZE

MFUMO YA MALIPO YA SERIKALI (EPIKA 10) HAUFANYI KAZI TANGU MWAKA WA FEDHA UANZE

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Mambo ya kuingia kwenye mifumo bila kujiandaa kunacost sana Taifa,mimi ni mtumishi wizara moja nyeti naomba nikiri kitu kua tunakurupuka mambo mengi sana.Hii swala la ku upgrade kutoka epicor 9 to epicor 10 limesababisha adha kubwa sana kiutendaji,kuna halmshauri haziwezi kulipa kabisa madeni kutokana na complications zilizopo za kimfumo.

Vijana wetu wa Tanzania wangeweza tengeneza mfumo mzuri kabisa na wa kisasa wa malipo kwani nimeona uwezo wa vijana hawa katika wizara kadhaa na zimefanikiwa lakini kuendelea kushikiria haya ya mfumo wa Uingereza unatucost sana labda kwa sababu tunakopa sana fedha zao zinakuja na masharti kua lazima mtumie mfumo wetu wa malipo....na hiizi ni njia nyingine tu za kutengenezea watu ulaji
 
Mambo ya kuingia kwenye mifumo bila kujiandaa kunacost sana Taifa,mimi ni mtumishi wizara moja nyeti naomba nikiri kitu kua tunakurupuka mambo mengi sana.Hii swala la ku upgrade kutoka epicor 9 to epicor 10 limesababisha adha kubwa sana kiutendaji,kuna halmshauri haziwezi kulipa kabisa madeni kutokana na complications zilizopo za kimfumo.

Vijana wetu wa Tanzania wangeweza tengeneza mfumo mzuri kabisa na wa kisasa wa malipo kwani nimeona uwezo wa vijana hawa katika wizara kadhaa na zimefanikiwa lakini kuendelea kushikiria haya ya mfumo wa Uingereza unatucost sana labda kwa sababu tunakopa sana fedha zao zinakuja na masharti kua lazima mtumie mfumo wetu wa malipo....na hiizi ni njia nyingine tu za kutengenezea watu ulaji
DFID wamemwaga pesa nyingi sana TAMISEMI.
 
Back
Top Bottom