Mfumuko wa bei za vifaa vya ujenzi wapangaji mtarajie mabadiliko pia

Mfumuko wa bei za vifaa vya ujenzi wapangaji mtarajie mabadiliko pia

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Unakuta mtu uko city centre kulingana na ubora wa nyumba yako anatokea mpangaji anakwambia sijui mbona kwa OMARY anapangisha chumba 50000 na vina umeme na maji wewe tu ndo unapangisha 60000.


kwa OMARY kwenyewe
FB_IMG_16445774996442174.jpg
ndo hapo👆

alafu uje kwa ABDALAH 👇
FB_IMG_16445777439622895.jpg
utake kupanga kwa bei hiyohiyo,,,,,.

kwa mfumuko wa bei za vifaa vya ujenzi mtambue na nyie mabadiriko ya kodi yata tofautiana hakuna cha kwa CHIKU wala kwa MUSA.


NB: majina sio halisi.
 
unakuta mtu uko city centre kulingana na ubora wa nyumba yako anatokea mpangaji anakwambia sijui mbona kwa OMARY anapangisha chumba 50000 na vina umeme na maji wewe tu ndo unapangisha 60000.


kwa OMARY kwenyewe View attachment 2116072ndo hapo[emoji115]

alafu uje kwa ABDALAH [emoji116]View attachment 2116074utake kupanga kwa bei hiyohiyo,,,,,.

kwa mfumuko wa bei za vifaa vya ujenzi mtambue na nyie mabadiriko ya kodi yata tofautiana hakuna cha kwa CHIKU wala kwa MUSA.


NB: majina sio halisi.
[emoji3516]
USITUTISHE!!!

KUJENGA NI UOGA WA MAISHA!!!
 
[emoji3516]
USITUTISHE!!!

KUJENGA NI UOGA WA MAISHA!!!
sawa nyie wapangaji ikifikaga swala la vitu km hivi mnawekaga pamba masikioni kuilalamikia serikali ngoja usikie ya sabaya au ndugai mnavokuwaga
IMG_20220210_104752.jpg
 
sawa nyie wapangaji ikifikaga swala la vitu km hivi mnawekaga pamba masikioni kuilalamikia serikali ngoja usikie ya sabaya au ndugai mnavokuwaga View attachment 2116090
[emoji3516]
NYINYI MNAOANGALIA NYUMBA ZA URITHI MNACHONGOSHA MIDOMO SANA KWA WAPANGAJI WAKATI NYIE WENYEWE HAMJUI HATA BEI YA SARUJI.

USITUTISHE,
KUJENGA NI UOGA WA MAISHA!!!
 
[emoji3516]
NYINYI MNAOANGALIA NYUMBA ZA URITHI MNACHONGOSHA MIDOMO SANA KWA WAPANGAJI WAKATI NYIE WENYEWE HAMJUI HATA BEI YA SARUJI.

USITUTISHE,
KUJENGA NI UOGA WA MAISHA!!!
😁😁 eti urithi we wamekurithisha nini?

misio bosi wenu MO
 
Tunauza mbao kwa bei za jumla
2*4 fut 12=4400
2*4treated fut 12=4800
1*6 fut 12 = 4400
1*8 fut 12= 8500
1*8 ya fisherboard=9500
1*10=13500
1*10 ya fisherboard= 15000
2*2treated fut 12=2500
2*2 fut 12=2300
2*4treated fut 18=9500
2*6 fut 12=8500
2*6treated fut 18=16000
2*2treated fut 18=5000
2*3 fut 12=3500
1*4 fut 18=4000
1*4 fut 12=2500
Tunafanya delivery popote ulipo kwa Dar-es-salaam ,tunapatikana kwa namba hizi hapa 0759630751,
0654830416,
0687371138
vile vile huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu ..
Ofisi zetu ziko Mbuyuni -Bagamoyo road
 
"Necessity is the mother of invention" Uhitaji (umhimu) ni mama wa uvumbuzi.

Kupanda kwa bei inatubidi wadau wa ujenzi tubuni mbinu mpya za kupunguza gharama za ujenzi bila kuathiri ubora (quality and standards). Hapa darasa la ujenzi la waja wema, tumebuni aina ya ujenzi wa ngazi za kipekee, zenye kukidi viwango na kupitiliza viwango na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu. Bofya link ujionee: Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza.
 
Back
Top Bottom