K kisengop New Member Joined Feb 26, 2018 Posts 1 Reaction score 0 May 14, 2018 #1 Habari wana jamii forum..... Napenda kuuliza, hivi huu mfumuko wa bei za vyakula katika kipind cha mfungo wa ramadhani uwa unasababishwa na nini?? Je kuna sabbmab zozote za kiuchumi??
Habari wana jamii forum..... Napenda kuuliza, hivi huu mfumuko wa bei za vyakula katika kipind cha mfungo wa ramadhani uwa unasababishwa na nini?? Je kuna sabbmab zozote za kiuchumi??
Micro IQ Member Joined May 13, 2018 Posts 73 Reaction score 122 May 14, 2018 #2 Mahitaji makubwa ya chakula kwa sababu ya mfungo.
adden JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 7,033 Reaction score 15,638 May 14, 2018 #3 Micro IQ said: Mahitaji makubwa ya chakula kwa sababu ya mfungo. Click to expand... Asubuhi watu hawali na kunywa hadi jioni sasa mahitaji makubwa yanatoka wapi??
Micro IQ said: Mahitaji makubwa ya chakula kwa sababu ya mfungo. Click to expand... Asubuhi watu hawali na kunywa hadi jioni sasa mahitaji makubwa yanatoka wapi??
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,149 May 15, 2018 #4 [emoji200]
Ngosha Mashine JF-Expert Member Joined Sep 21, 2017 Posts 665 Reaction score 1,360 May 15, 2018 #5 adden said: Asubuhi watu hawali na kunywa hadi jioni sasa mahitaji makubwa yanatoka wapi?? Click to expand... Wanakula sana, jion saa 1 na alfajir saa 9(wenyewe wanadai daku ni suna)
adden said: Asubuhi watu hawali na kunywa hadi jioni sasa mahitaji makubwa yanatoka wapi?? Click to expand... Wanakula sana, jion saa 1 na alfajir saa 9(wenyewe wanadai daku ni suna)