Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 631
- 592
Poleni kwa mfungo wa ramadhan na kwaresma, safari hii swaumu zimeongozana, sasa ndg zangu nina swali naomba tulijadili kwa mapana yake:
Ni hivi kila ifikapo mfungo wa ramadhan taasisi mbalimbali za umma na binafsi, mabenki, watu binafsi huandaa futari au kufutulisha makundi mbalimbali kwenye hilo ni jambo la kheri,
Vipi kuhusu kwaresma mbona sijaona yakifanyika hayo ya kufuturisha shida nini? Kwaresma inafahamika na tunafunga siku 40, ila kwa umri wangu sijasikia sijui taasisi, bank au hata huko juu wameandaa futari kwa makundi maalumu.
Tujadili bila kukwadhana maana wote tumefunga
Ni hivi kila ifikapo mfungo wa ramadhan taasisi mbalimbali za umma na binafsi, mabenki, watu binafsi huandaa futari au kufutulisha makundi mbalimbali kwenye hilo ni jambo la kheri,
Vipi kuhusu kwaresma mbona sijaona yakifanyika hayo ya kufuturisha shida nini? Kwaresma inafahamika na tunafunga siku 40, ila kwa umri wangu sijasikia sijui taasisi, bank au hata huko juu wameandaa futari kwa makundi maalumu.
Tujadili bila kukwadhana maana wote tumefunga