Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Yeah nmesoma
Unaonekana ulijiandaa kupinga wakati unamsoma jamaa.

Jamaa kaelezea vizuri sana ila hujamuelewa.

Maadamu jamaa kaelezea vizuri basi tunachokushauri rudi kwenye yale maelezo usome vizuri utaelewa,usijekutaka maelezo mengine wakati yale yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila na ukubwa wa mishahara+bonus lkn maisha yao baada ya ajira hua siyaelewi,boss mstaafu wa Tbc baada Tido kwa sasa ndio mwenyekiti wetu wa mtaa na wakubwa wengine kibao hali zao ni mdogo mdogo.
Kumbe unakaa na wakubwa hongera! Nafikiri wewe ndio uko sehemu nzuri na sio kwamba wao wako vibaya.
 
Kumbe unakaa na wakubwa hongera! Nafikiri wewe ndio uko sehemu nzuri na sio kwamba wao wako vibaya.

Hapana mzee baba huku hata majirani choka mbovu kama mimi tuko wengi balaa.

Nilikua nashangaa tu,madaraka/pesa walizoshika na maisha yao ya mtaani sio directly proportional.
 
Mkuu asikuumize kichwa huyo bibi.

Watoto wengi mama zao wauza maandazi,nyanya na samaki.

Lakini wazazi hao huiwaambia watoto wao wasome na watoto wanasoma na kuja kuibuka videdea huko mbeleni.

Watoto wengi sana wazazi wao wako tofauti na wao.

Labda angesema mzazi anaathiri mtoto ikiwa hamfanyii maongezi ya kumuambia kipi kizu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huyo naye haeleweki..mara dagaa mara samaki..watu wanatajirikia kwenye hizo mishe yy anaona km mateso? Lols
 


Walau UNgetaka kuelewa amemaanisha nn kutoka kwenye COMFORT ZONE USINGEBISHA!
 
Mkuu mc gregor nilianza na mtaji mdogo sana coz nina shamba la ekari mbili tangu mwaka 2005 nilikuwa napanda mahindi ya kawaida lakini kwa sasa ninapanda mahindi ya hybrid kutoka kampuni ya seed-co arusha na pia na kodisha mashamba ya wengine;
mifuko 10@12000=120000
trekta 2eka@45000=90000
dawa ya multi afa plus,booster kitu kama 50000
jumla 260000~300000/=
kununu mahindi kutoka shambani kutegemea na msimu 36 mpaka 40 kwa gunia kuuza 60 mpaka 90 kutegemea na eneo.
 
Mkuu Umomi kwenye NGOs wako watu wamesajili kwa lengo la faida tu na sio kusaidia jamii na wanatumia watu waliokwisha kuajiriwa kuepuka gharama,imekuwa kama business kwa sasa mimi natumia fundsforngos.org kutafuta donors,call for proposals zipo nyingi tatizo tumeshajiwekea mtazamo wa kuajiriwa na kukaa tu, kujiajiri inahitaj kujituma kupita kiasi na nidhamu.
 
Unapata gunia ngapi kwa hekari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Avriel inategemea na mambo haya kwanza ubora wa ardhi,uandaaji mzuri,na mbegu unayopanda.
kwa huku mimi huwa napata gunia 45 kwa heka nikitumia mbegu ya tembo au kitale kutoka kenya.
lakini kama mwaka huu nina tumbili ambayo inakomaa muda mfupi miezi 3 hapo napata 30-35 gunia kwa heka
 
Gunia moja bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…