“Mgahawa wa Mbwa" huko Dubai

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Tarehe 30 mwezi Mei, 2022, huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), kuna mgahawa ambao hutoa vitafunio, keki na vyakula vingine kwa mbwa wanaofugwa.

Wamiliki wa mbwa hupeleka wanyama wao vipenzi na kufurahia chai ya alasiri.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…