Asante Makoye Matale kwa kutusaidia uzi wetu .
Point 6 Mkwakwani kati ya point 6! Dalili nzuri za msimu, huu uwanja unatusumbuaga sana! Dawa ya toto africa iko jikoni na imeiva! Kanda ya ziwa tunabeba point zote tisa!
Mkwakwani bado mechi moja, Kanda ya Ziwa kuna mechi nne; Toto, Kagera Sugar, Stand United na Mwadui. Msimu huu mgumu lakini naona tumeanza vizuri.Point 6 Mkwakwani kati ya point 6! Dalili nzuri za msimu, huu uwanja unatusumbuaga sana! Dawa ya toto africa iko jikoni na imeiva! Kanda ya ziwa tunabeba point zote tisa!
Hii speed ya Kiiza itatufanya tutembee kifungu wazi mbele.