Mgambo JKT ni timu ya Handeni, Tanga lakini watu wa Handeni hawashirikishwi kwenye timu yao.
Kuanzia sasa kwa kushirikiana na uongozi wa Wilaya ya Handeni hakikisheni kuwa mechi zote za nyumbani za Mgambo JKT zinachezewa Handeni mjini sio Mkwakwani kama mlivyofanya. Mizimu ya ardhi ya Wazigua imegoma kuwasaidia.
Mbona Mtibwa Sugar inachezea Manungu kwenye mashamba yao ya miwa?