KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
Hivi ni kwa nini mnafanya mradi wa kitoto namna hiyo, mnawazuia raia kupita kwenye geti kama hawajavaa barakoa (hata staff ambao wanapewa na mwajiri wao nyie mnalazimisha wanunue wavae wakati wana elimu ya barakoa kuliko ninyi), na huko nje mmewaweka jamaa zenu ambao hata kutunza (kuhifadhi) barakoa hawajui na hawawezi, maana yake barakoa zinapigwa na vumbi na zinashikwa na mikono ambayo siyo salama (michafu) au kwa kuwa wanaofanya hiyo biashara ni ndugu, wake zenu, waume zenu, michepuko au ni jamaa zenu.
This is not right, halafu cha ajabu nyinyi wenyewe hamvai na mtu akishapita getini anavua na anaendelea na maisha, huko ndani hata staff wenyewe hawavai (wale ambao hawahudumii wangonjwa).
Sasa nawaambia next time nitawato bandama, mkirudia tena. (simba day, yanga day na kampeni watu nyomi la hatari lakini hakuna upuuzi wa kuuza used na barakoa chafu. Naomba mamlaka husika zichuke hatua kabla raia hawaja kinukisha. Mnaweza kuwahakikishia watu kwamba hizo barakoa siyo USED?
This is not right, halafu cha ajabu nyinyi wenyewe hamvai na mtu akishapita getini anavua na anaendelea na maisha, huko ndani hata staff wenyewe hawavai (wale ambao hawahudumii wangonjwa).
Sasa nawaambia next time nitawato bandama, mkirudia tena. (simba day, yanga day na kampeni watu nyomi la hatari lakini hakuna upuuzi wa kuuza used na barakoa chafu. Naomba mamlaka husika zichuke hatua kabla raia hawaja kinukisha. Mnaweza kuwahakikishia watu kwamba hizo barakoa siyo USED?