[emoji3064][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa samahani mkuu samahani sana mkuu atakuwa ametoka kama sio kilaweni itakuwa ni Kiriche maana anaona akitoa pea moja kuvaa atakosa pesa
Atakuwa mchaga [emoji23]dah jamaa noma!
Huyu hawezi kuwa Mtanzania....hatuko hivi kwa kweli.