#COVID19 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi Hospital adaiwa kulazimisha watumishi kuchanjwa kinyume na hiari yao

#COVID19 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi Hospital adaiwa kulazimisha watumishi kuchanjwa kinyume na hiari yao

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kumekuwa na malalamiko kuwa mganga mkuu wa Tumbi Hospital amekuwa akitoa vitisho kwa watumishi ambao bado hawajashawishika kuchanja chanjo ya corona!

Mganga mkuu huyo Dr Malima amekuwa akitishia hata ajira kwa ambao hawatakubali kabisa kuchanjwa japo serikali ilishasema chanjo ni hiari.

Kuna tetesi za chini chini kuwa yeye mwenyewe alishachanja na ameathirika na chanjo hiyo. Kwa hiyo analazimisha na wengine wachanje ili kifo cha wengi iwe harusi !!

Inasemekana LEO asubuhi kwenye clinical meeting ameagiza chanjo ziletwe na atawaamuru wasiochanjwa wachanje bila hiari yao ya dhati!! Watu sampuli hii hawafai.

Rais alishatoa maagizo wahusika wasitumie mabavu!! Waelimishe na kushawishi ili watu wachanje kwa hiari. Katika tiba hakuna huduma unayoweza kumpa mtu kwa mabavu. This is contrary to medical ethics!!
Picha ya Mganga mkuu wa Tumbi Dr Amaan Malima ni hii hapa chini. Ajue kuwa tunamjua vizuri. Aheshimu watu.
61408f3c66419614160042.jpeg
 
Mkuu jiandae Tu kuchanjwa
Thubutu!! Hakuna mwenye ubavu wa kuchanja mtu kwa lazima!! Wataishia kutoa vitisho tu nyuma ya pazia lakini hakuna mwenye ubavu wa kutoa waraka wa kufanya chanjo kuwa lazima!! Na bila waraka walazimishaji kama huhu Dr Malima wa Tumbi Hospital wataishia kutumbuliwa tu kwa nguvu ya wananchi!! AKOME!!
 
Umejaa "conspiracy theories".....

Kwa hiyo hizi chanjo tunazowapa watoto wetu huko kliniki zinatengenezwa Kasulu Kigoma eee?!!!

Nazo pia unapinga?!!!

#SiempreJMT
Sio mimi ninayepinga ni facts mkuu.
 
Kuna vitu vinashangaza sana kwa wasomi wetu wa kada ya afya....

Hawa wako vitani....mstari wa mbele kabisa....inakuwaje kukataa chanjo ilihali wako maeneo hatarishi tena wanawatibu wagonjwa wa UVIKO 19?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#TujitokezeniKuchanjwa
 
Hahaa utumishi wa umma Tanzania ni UTUMWA waanze na kuwapima UKIMWI kwa nguvu, maana wao ni makondoo tu yasiyo na maana , nyambaf
 
Nguvu ya beberu sio poa hata kidogo, beberu kahakikisha tunachanja, lazima tuchanje coz tunapewa pesa za bure na mikopo nafuu. Jiulize beberu ana interest gani na mwafrika, kumlazimisha mambo yake ya ndani kabisa?

These mofos are imbeciles!
 
Kuna vitu vinashangaza sana kwa wasomi wetu wa kada ya afya....

Hawa wako vitani....mstari wa mbele kabisa....inakuwaje kukataa chanjo ilihali wako maeneo hatarishi tena wanawatibu wagonjwa wa UVIKO 19?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#TujitokezeniKuchanjwa
Mkuu, hudhani kuwa hiyo inatuma ujumbe ambao mtu anapaswa kuutafakari? Wenzetu kama watu wa afya ambao wana experience ya miaka wanapofanya hivyo halafu sisi tusio na experience yoyote tunataka kuwa walimu, huoni kuna walakini?
 
Back
Top Bottom