#COVID19 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi Hospital adaiwa kulazimisha watumishi kuchanjwa kinyume na hiari yao

Pumbav, tangu lini majaribio ya chanjo yakalazimishwa......majaribio mara zote ni jambo la kuomba ridhaa kutoka kwa wahusika baada ya kuwapa maelezo yote kuhusu majaribio kwa uwazi, hii inajulikana kwa kimombo kama 'informed consent' .Jambo jingine, majaribio kama haya ya kitabibu ambayo mhusika anaweza kupata madhara ya muda mrefu na mfupi au hata kupelekea kifo ni lazima kulipa wahusika waliojitolea fidia, huyo daktari anayelazimisha watu kushiriki kwenye jaribio la chanjo apimwe mkojo mara moja.......
 
ajenda za siri
 
Jua kwamba hawaamini uwepo wa Corona na wana siri nyingi juu ya hiki unachoambiwa Corona ni hatari. Sina Tz tu,sehemu nyingi watumishi wa umma wanalazimishwa kuchanjwa.
 
Ni ofisi zote zinakama kulazimishana kwenda kuchanjwa...
 
Itakuwa upumbavu kwa watumishi wa sekta ya afya kukataa kuchanja wakati wao wapo katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa Covid-19 kuliko kada yoyote. Ilipaswa iwe lazima.
Inachekesha sana nchi hii yaani dr anapinga chanjo ndiyo maana wahudumu wa afya nchi hii waliowengi wanakufa na ukimwi.
Dr anajua madhara ya kutembea peku lakini ndiyo wanaongoza kupiga kavu
 
Unaongelea hawa wataalamu wetu ambao wanakalili vitini vya wazungu?
 
Chanjo zote za COVID 19 zilizopo sasa bado ziko kwenye clinical trial ndiyo maana ni lazima usaini makubaliano na ndiyo sababu hairuhusiwi kumchanja mtu chini ya miaka 18 kwa kuwa kisheria hawezi kuingia kwenye makubaliano ya kisheria. Be informed Jumbe Brown kama umechanja tunashukuru ili uwe mmoja wa wananchi waliojitolea kufanyiwa majaribio ya chanjo ya Covid 19
 
Inachekesha sana nchi hii yaani dr anapinga chanjo ndiyo maana wahudumu wa afya nchi hii waliowengi wanakufa na ukimwi.
Dr anajua madhara ya kutembea peku lakini ndiyo wanaongoza kupiga kavu
Kama anajitambua je? Chanjo ya majaribio sio lazima kuchanjwa ila chanjo zote zilizokamilika huwa ni lazima kuchanjwa ndiyo maana huwa hakuna kusaini makubaliano ya kisheria na zinachanjwa hadi watoto wadogo lakini hizi za majaribio mtoto ni marufuku kuchanjwa.
 
Wenyemashaka na hizo chanjo za uviko wanasema hazikukamilisha mchakato wa utafiti tofauti na hizo nyengine.
 
Itakuwa upumbavu kwa watumishi wa sekta ya afya kukataa kuchanja wakati wao wapo katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa Covid-19 kuliko kada yoyote. Ilipaswa iwe lazima.
Hatari iko kinyume. Mtumishi anaweza kuwaambukiza watu wanaolazwa humo.

Maana Covid jinsi ilivyo, vijana wengi wanatembea na virusi bila madhara. Hatari iko kwa wazee na waliodhoofishwa kinga cha mwili kutokana na magonjwa. Yaani watu haohao wanaofika hospitalini.

Hata mtu mzima asiyeonyesha dalili anaweza kubeba virusi na kuwambukiza wengine. Ukichanjwa uwezekano wa kubeba virusi unapungua sana, pamoja na kujikinga mwenyewe.

Katika ujweli huo iko changamoto ya kuchanja watumishi wa afya,
 
Unajua kuwa watu wanataka sifa tu kwa mama waonekane maeneo yao wamehamasisha chanjo na wengi wamechanja!! Kwa hiho wanatumia vitisho na mabavu ili mama awaone nj watendaji wazuri!! Ila kwa Tz hii, watasubiri sana!! Waendelee tu kutoa data za kupika kuhusu chanjo!!
 
Tena waleo wabaojataa juchanja awatandike bakora nne nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…