Mganga wa jadi apatikana na fuvu za binadamu 24 nchini Uganda

Mganga wa jadi apatikana na fuvu za binadamu 24 nchini Uganda

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mwanamume mmoja wa Uganda anayesadikiwa kupatikana na fuvu za binadamu 24 huenda alikuwa akizitumia kwa ajili ya kafara ya binadamu na anaweza kukabiliwa na kifungo cha maisha gerezani, polisi wameeleza kwa BBC. Msemaji wa polisi, Patrick Onyango, amesema mtuhumiwa huyo, Ddamulira Godfrey, atashtakiwa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupiga Marufuku Kafara za Binadamu.

Mabaki ya wanyama na ngozi pia vilipatikana kwenye kibanda cha Bw. Godfrey katika viunga vya jiji kuu, Kampala. Polisi bado wanaendelea kukagua kibanda cha Bw. Godfrey kwa matumaini ya kupata mabaki mengine ya binadamu.
Bw. Godfrey anadai kuwa mganga wa jadi na mtaalamu wa miti shamba. Hata hivyo, Chama cha Waganga wa Jadi nchini humo kimejitenga naye.

===========For English Audience============
Self-proclaimed healer found with 24 human skulls in Uganda

A Ugandan man allegedly found with 24 human skulls may have been using them for human sacrifice and could face life in prison, the police have told the BBC.

Police spokesperson Patrick Onyango said the suspect, Ddamulira Godfrey, would be charged under the Prevention and Prohibition of Human Sacrifice Act.

Animal remains and skins were also found in Mr Godfrey's shrine in the suburbs of the capital, Kampala.
Police are still searching Mr Godfrey's shrine in the hopes of recovering more human remains.

Mr Godfrey claims to be a traditional healer and herbalist. However, the country’s Traditional Healers’ Association has distanced itself from him.

SOURCE:BBC
 
Waganga wenzie wamejitenga nae😀😀😀😀 hakuna mtu ambae hupenda kuwa karibu Na mtu mwenye matatizo
 
Sasa Hayo Yalivyo Mengi Anayatunzaje
 
Back
Top Bottom