Mganga wa kienyeji katembea na mke wa rafiki yangu akimdanganya ni jini

Mganga wa kienyeji katembea na mke wa rafiki yangu akimdanganya ni jini

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,263
Reaction score
3,897
Inaskitisha na inahuzunisha,

Wakuu mko poa?

Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga wa kienyeji bila kinga imeleta vurugu sana,

Iko hivi, ni mke wa rafikiangu ambae wameoana wamebahatka kuzaa mtoto mmoja wa kiume kwa sasa ana umri wa miaka 5, Mtoto huyo ana tatizo la macho kua mekundu rakni anaona vzr tu wamezunguka huku nakule rakn hajapona

Sasa juz kuna mama mmoja akamwambia yule shemeji (mdada) kwamba tatzo la mtoto wako ni dogo sana kuna mganga wangu alishawai kumtibu bint yangu alikua na tatzo, Kwahili naamini mganga ataenda kuponyesha mtoto huyu, shemeji (mdada)akawa ameelekezwa akaenda kwa huyo mganga

Ilikua asubuhi mmewake alikua amesafri baasi wakafka kwa mganga akaambiwa sjui et tatzo la mtoto wako ni dogo sana ila itakubidi ulale na jini, yule dada akastuka akauliza nitalala na jini vp? mganga akasema utarudi jioni baada ya hapo akarudi nyumbani

Jioni ilipofka akafka kwa mganga akaitwa ndani kwenye kajumba ilikua tayar ni usku usku sjui sasa ni tamaa yule mganga alimtamani yule dada,

Ilikua gizani hapakua na taa mganga akaanza kuongea maneno yaajabuajabu anaigza kama jini, ananwambia vua ulale na jini mtoto wako atapoana lile jini likaona anachelewa kuvua akavulishwa kwa nguvu akachaniwa chupi likamla ,,, aiseee inauma sana

Amekuja kugundua halikua jini wala nini ni mbinu za mganga na tamaa zake kamla bila hata kutumia kondomu,, dada yule akatoka huko akiwa analia kampigia simu mmewake kumwambia kilichomtokea kwakua alikua hayupo alikua kasafri mmewake ambae ni rafk iangu amekuja mgomvi umezuka mzto usku wa wakuamkia jana

Mme akamchukua kwenda kwa mganga kisha wamefikishana polisi jambo limekua zito yaaani waganga hawa wanatamaa na wateja wao mtu ametoa laki moja bado na kumla,,, na sizani hapo kama kutakua na ndoa tena, na inaonekana huyo mganga alitumia nguvu maana anaalama za makucha

Kutamaani kitu kzuri ndio madhara yake hayo


Exalioth
Naipenda Jamiiforums
Karibuni GEITA
 
Unanikumbusha Kule Bariadi

Kuna Jamaa mmoja aliitwa "Maduhu" alikua ukimuona mwonekano mpaka kuongea ni wakike kike yaan kama mwanamke mpaka kutembea ,umbea kukaa na wanawake .

Wanawake wakawa wanamtania wee shogaaa, husimamishiii, hufanyiiii ,hata tukikupa hulii

Maduhu akawa anacheka tu haaa yaan mimj kweli niwashindwe mimi?? Ooohh siku mukijichanganyaaaa oohooo mutajua mimi ninani[emoji23][emoji23]

Basi miaka ikawa inasonga..madem vichwa vya kuku, wengine wakanza kumtaka maduhu ajaribu

Jamaa akawa anamuita mmoja baada ya mwingine utasikia..unataka kushudia??? Twende sasa

Demu akifika, jamaa linamwambia ,vuaa kila kituuu

Demu anavuaa, mara maduhu anasimamisha mbooo, anapigaaa anapigaaaa

SASA DEMU AKITOKA KULIWA, ANASHINDWA CHAKUFANYA

JE AWAMBIE WENZAKE KUA KALIWA??? HAWEZI[emoji23][emoji23][emoji23]

Maduhu akaendelea kuwala, aliwala aliwalaa aliwalaa

Mpaka hatua ya mwisho siku moja, Kuna demu alipoingia naye room., akataka aanze kumchezea jamaa, mara mashine ikasimama,,boonge la mashine

Demu akatoka nduki[emoji23][emoji23]

Ndio kuwahadithia wanawake wengine, wakaja kujikuta wengi wameliwa na maduhu

Akili za wanawake bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
Kuna wapumbavu hukomea hapo hapo kwenye maarifa na kudai hayo maarifa hayajatanabaishwa, ni vyema kuweka fungu lote hapa.

HOSEA 4:6

"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Dada kichwa panz huyo. Amepiga cm ya nn sasa. Angekausha akae nalo moyoni. Au aliogopa alompeleka atatangaza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana hawa wanawake hawana urafiki. Cku wakizinguana tu anachomoa betri anamwaga kila kitu hazarani.

MARA NYINGI UKIONA MWANAMKE ANA RAFIKI YAKE AMBAE WAMESHIBANA NA NI KAMA ANAJIPENDEKEZA KWAKE JUA KUNA SIRI WANATUNZIANA YA KISHUJAA KAMA HII.
 
Back
Top Bottom