exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Inaskitisha na inahuzunisha,
Wakuu mko poa?
Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga wa kienyeji bila kinga imeleta vurugu sana,
Iko hivi, ni mke wa rafikiangu ambae wameoana wamebahatka kuzaa mtoto mmoja wa kiume kwa sasa ana umri wa miaka 5, Mtoto huyo ana tatizo la macho kua mekundu rakni anaona vzr tu wamezunguka huku nakule rakn hajapona
Sasa juz kuna mama mmoja akamwambia yule shemeji (mdada) kwamba tatzo la mtoto wako ni dogo sana kuna mganga wangu alishawai kumtibu bint yangu alikua na tatzo, Kwahili naamini mganga ataenda kuponyesha mtoto huyu, shemeji (mdada)akawa ameelekezwa akaenda kwa huyo mganga
Ilikua asubuhi mmewake alikua amesafri baasi wakafka kwa mganga akaambiwa sjui et tatzo la mtoto wako ni dogo sana ila itakubidi ulale na jini, yule dada akastuka akauliza nitalala na jini vp? mganga akasema utarudi jioni baada ya hapo akarudi nyumbani
Jioni ilipofka akafka kwa mganga akaitwa ndani kwenye kajumba ilikua tayar ni usku usku sjui sasa ni tamaa yule mganga alimtamani yule dada,
Ilikua gizani hapakua na taa mganga akaanza kuongea maneno yaajabuajabu anaigza kama jini, ananwambia vua ulale na jini mtoto wako atapoana lile jini likaona anachelewa kuvua akavulishwa kwa nguvu akachaniwa chupi likamla ,,, aiseee inauma sana
Amekuja kugundua halikua jini wala nini ni mbinu za mganga na tamaa zake kamla bila hata kutumia kondomu,, dada yule akatoka huko akiwa analia kampigia simu mmewake kumwambia kilichomtokea kwakua alikua hayupo alikua kasafri mmewake ambae ni rafk iangu amekuja mgomvi umezuka mzto usku wa wakuamkia jana
Mme akamchukua kwenda kwa mganga kisha wamefikishana polisi jambo limekua zito yaaani waganga hawa wanatamaa na wateja wao mtu ametoa laki moja bado na kumla,,, na sizani hapo kama kutakua na ndoa tena, na inaonekana huyo mganga alitumia nguvu maana anaalama za makucha
Kutamaani kitu kzuri ndio madhara yake hayo
Exalioth
Naipenda Jamiiforums
Karibuni GEITA
Wakuu mko poa?
Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga wa kienyeji bila kinga imeleta vurugu sana,
Iko hivi, ni mke wa rafikiangu ambae wameoana wamebahatka kuzaa mtoto mmoja wa kiume kwa sasa ana umri wa miaka 5, Mtoto huyo ana tatizo la macho kua mekundu rakni anaona vzr tu wamezunguka huku nakule rakn hajapona
Sasa juz kuna mama mmoja akamwambia yule shemeji (mdada) kwamba tatzo la mtoto wako ni dogo sana kuna mganga wangu alishawai kumtibu bint yangu alikua na tatzo, Kwahili naamini mganga ataenda kuponyesha mtoto huyu, shemeji (mdada)akawa ameelekezwa akaenda kwa huyo mganga
Ilikua asubuhi mmewake alikua amesafri baasi wakafka kwa mganga akaambiwa sjui et tatzo la mtoto wako ni dogo sana ila itakubidi ulale na jini, yule dada akastuka akauliza nitalala na jini vp? mganga akasema utarudi jioni baada ya hapo akarudi nyumbani
Jioni ilipofka akafka kwa mganga akaitwa ndani kwenye kajumba ilikua tayar ni usku usku sjui sasa ni tamaa yule mganga alimtamani yule dada,
Ilikua gizani hapakua na taa mganga akaanza kuongea maneno yaajabuajabu anaigza kama jini, ananwambia vua ulale na jini mtoto wako atapoana lile jini likaona anachelewa kuvua akavulishwa kwa nguvu akachaniwa chupi likamla ,,, aiseee inauma sana
Amekuja kugundua halikua jini wala nini ni mbinu za mganga na tamaa zake kamla bila hata kutumia kondomu,, dada yule akatoka huko akiwa analia kampigia simu mmewake kumwambia kilichomtokea kwakua alikua hayupo alikua kasafri mmewake ambae ni rafk iangu amekuja mgomvi umezuka mzto usku wa wakuamkia jana
Mme akamchukua kwenda kwa mganga kisha wamefikishana polisi jambo limekua zito yaaani waganga hawa wanatamaa na wateja wao mtu ametoa laki moja bado na kumla,,, na sizani hapo kama kutakua na ndoa tena, na inaonekana huyo mganga alitumia nguvu maana anaalama za makucha
Kutamaani kitu kzuri ndio madhara yake hayo
Exalioth
Naipenda Jamiiforums
Karibuni GEITA