Mganga wa kienyeji katembea na mke wa rafiki yangu akimdanganya ni jini

Kwahiyo huyo angekuwa jini kweli si tatizo?
Angetumia condom si tatizo?
Huyo mwanamke hana akili kabisa. Ilibidi akomae asimwambie mume wake hilo tukio.
Pia alidanganywa kipuuzi sana
 
Maduhu ajengewe mnara
 
Kwahiyo huyo angekuwa jini kweli si tatizo?
Angetumia condom si tatizo?
Huyo mwanamke hana akili kabisa. Ilibidi akomae asimwambie mume wake hilo tukio.
Pia alidanganywa kipuuzi sana
Yaani mkuu kwenye tujumba twa waganga kuna mambo sana tena yaweza kua huyu mganga alisha tomb weng inatakiwa afugwe
 
Mganga apewe zawadi kwa kunyandua K kiulaini. Na mtagongwa sana dadeki mkiendeleza ujinga wenu
Afungwe tyu hakuna namna aisee hili swala lneniuma kama imenitokea mimi
 
Mwanamke mjinga huyo

Bora anaupiga kimya

Kwani huyo mmewe ndio wa kwanza kumpa?

So alikubali mwenye2e kulala na jini

Pumbavu
 
Mtu wa baba
 
Mwanamke mjinga huyo

Bora anaupiga kimya

Kwani huyo mmewe ndio wa kwanza kumpa?

So alikubali mwenye2e kulala na jini

Pumbavu
Ilimuuma inaonesha hajawahi kumsaliti mmewe
 

Kwa hiyo angeliwa na Jioni ni Poa tu? Kapimweni vichwa wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…