Mganga wa Mapenzi

Mganga wa Mapenzi

Kuna mama mmoja namtaka sana lakini kumpata imekuwa ngumu sana, ni mama ana heshima zake nampenda kishenzi yani na ana hela sana
Tunakuona mkuu moja haikai mbili haikai
FB_IMG_17331513807814551.jpg
 
Yapo

Wakat nipo sekondar nilikuwa domo zege zaidi ya mzee wa mbususu mzabzab ,nilipata dawa ya mapenz nikaitumia na ikafanikiwa ila baada ya muda mrefu kupata dawa ambazo siyo,hata wamasai ni wahuni tu dawa zao hazikunisaidia

Siku mtoto wa watu namfanyia hakusoma siku nzima macho yalikuwa kwangu mpaka tunaondoka jioni
 
Back
Top Bottom