Unamtaka yeye au hela zake.Kuna mama mmoja namtaka sana lakini kumpata imekuwa ngumu sana, ni mama ana heshima zake nampenda kishenzi yani na ana hela sana
Tunakuona mkuu moja haikai mbili haikaiKuna mama mmoja namtaka sana lakini kumpata imekuwa ngumu sana, ni mama ana heshima zake nampenda kishenzi yani na ana hela sana
Mapenzi ya dawa huishaga vibaya Sanaa...Ogapa penzi lilo chochewa kichawi.
halafu alielichochea akakuacha!Ogapa penzi lilo chochewa kichawi.
MmmhYupo,njoo PM
MmmmhhhhhMmmh
Sikjakutegemea🤒🤒Mmmmhhhhh
Kwa sababu unajua mi mlokole au sio?we mwambie anicheki pm nimpe mchongoSikjakutegemea🤒🤒