Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wiki nzima hii mganga wao utopolo anahaha kuhakikisha wanapangiwa na Asec ambao kwao ndio wanaona wanaweza kupambana nao, wao hawataki mamelodi wala petro wala mwarabu, wao wanatambika ss hv na kuroga kila kona ili drawa iwapeleke kwa asec.
Sisi hatuangalii sura, kama tumemweza Wydad we are sure hakuna wa kumuogopa.
Fikra za watanzania bwana. Ingekuwa uchawi ni mpira basi nchi za Afrika zingeshabeba world cupWiki nzima hii mganga wao utopolo anahaha kuhakikisha wanapangiwa na Asec ambao kwao ndio wanaona wanaweza kupambana nao, wao hawataki mamelodi wala petro wala mwarabu, wao wanatambika ss hv na kuroga kila kona ili drawa iwapeleke kwa asec.
Sisi hatuangalii sura, kama tumemweza Wydad we are sure hakuna wa kumuogopa.
Usilolijua ni sawa na usiku wa gizaFikra za watanzania bwana. Ingekuwa uchawi ni mpira basi nchi za Afrika zingeshabeba world cup
Hebu funguka kidogo na sisi tupate faida . Yaelekea yapo unayoyajua kuhusu faida za uchawi
Muulize msemaji wa utopolo kilichomfanya azimie, na bado anadaiwa ailipe damu maana alichoropokaFikra za watanzania bwana. Ingekuwa uchawi ni mpira basi nchi za Afrika zingeshabeba world cup
Hivi huyu jamaa kuna hata thread moja ameweza kujadili kitu cha maana? Hoha zake ni mambo ya ushirikina tu. Pathetic.Wiki nzima hii mganga wao utopolo anahaha kuhakikisha wanapangiwa na Asec ambao kwao ndio wanaona wanaweza kupambana nao, wao hawataki mamelodi wala petro wala Mwarabu, wao wanatambika ss hv na kuroga kila kona ili drawa iwapeleke kwa Asec.
Sisi hatuangalii sura, kama tumemweza Wydad we are sure hakuna wa kumuogopa.