mjombajona
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 262
- 50
Napenda kuuliza kwa wanasheria kama mimi ni mwajiriwa wa kampuni na nilikopeshwa nyumba na kampuni 2002 na baadaye mwaka 2005 nikamuoa mwanamke aliyenikuta ndani ya nyumba hiyo na nimeshaanza kukatwa deni.Miaka kumi baadaye yaani 2012 deni limekwisha, nyumba ninaimiliki kwa 100%.
Sasa maelewano hamna tunataka kuachana kila mtu apewe chake. hatukuzaa mtoto - hiyo nyumba itakuwaje mgao wake? Take into account kuwa mimi nilianza kulipa deni yeye hajaolewa lkn limeisha tuko naye.
Sasa maelewano hamna tunataka kuachana kila mtu apewe chake. hatukuzaa mtoto - hiyo nyumba itakuwaje mgao wake? Take into account kuwa mimi nilianza kulipa deni yeye hajaolewa lkn limeisha tuko naye.