KERO Mgao mkali Wa umeme Urambo, Kaliua, Biteko tusaidie mitaji inakufa..

KERO Mgao mkali Wa umeme Urambo, Kaliua, Biteko tusaidie mitaji inakufa..

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kaplizer

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
720
Reaction score
582
Kiukweli wafanyabiashara na wakazi wa Kaliua na Urambo tunateseka sana.. umeme kwa siku unakatwa zaidi ya mara nne na kiukweli haukai zaidi ya saà sita.

Kibaya zaidi TANESCO huku hawana lugha nzuri na huduma mbovu.

Saluni na biashara nyingi za umeme zimekufa.

Msaada wenu Mods Uzi huu uwafikie walengwa maana maumivu ni makali mno na wakazi wa hayo maeneo ni mashuhuda..
 
Huh? Kwani maji kule bwawani yameisha, au mvua zimeijaza matope?

Ufafanuzi tafadhali. Maana juzijuzi hapa tulikuwa na umeme unaoweza kusambazwa EA yote na hata kuuzwa Misri, Ethiopia na Sudani, na na hata nchi ya Ulaya kama Moroko.
 
Huh? Kwani maji kule bwawani yameisha, au mvua zimeijaza matope?

Ufafanuzi tafadhali. Maana juzijuzi hapa tulikuwa na umeme unaoweza kusambazwa EA yote na hata kuuzwa Misri, Ethiopia na Sudani, na na hata nchi ya Ulaya kama Moroko.
Ndugu hizo ni siasa tuu sehemU Nyingi Kuna waya tuu lkn umeme wa uhakika hamna kiukweli ni siasa tupu
 
Back
Top Bottom