MGAO TENA,mwezi July?

kichwat

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
1,819
Reaction score
588
Habari kutoka Mtera zinaashiria kuwepo kwa upungufu wa maji ktk mabwawa ya Mtera na Kidatu ifikapo July, kutokana na mvua haba.
Wenye jenereta ni wakati wa kufanya service.
Wazee wa welding tuongeze uzalishaji kipindi hiki.
 
Ahsante kwa kutujulisha, ila wategemea mionzi ya jua tuko kibao.
 
mweee, maskini sisi wadanganika, ngoja nianze kuweka akiba pesa kwa ajiri ya kiwese cha kibatari
 
nji hii mgao wa umeme kama sarawili na mkanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…