kichwat JF-Expert Member Joined Mar 4, 2010 Posts 1,819 Reaction score 588 May 5, 2012 #1 Habari kutoka Mtera zinaashiria kuwepo kwa upungufu wa maji ktk mabwawa ya Mtera na Kidatu ifikapo July, kutokana na mvua haba. Wenye jenereta ni wakati wa kufanya service. Wazee wa welding tuongeze uzalishaji kipindi hiki.
Habari kutoka Mtera zinaashiria kuwepo kwa upungufu wa maji ktk mabwawa ya Mtera na Kidatu ifikapo July, kutokana na mvua haba. Wenye jenereta ni wakati wa kufanya service. Wazee wa welding tuongeze uzalishaji kipindi hiki.
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,598 May 5, 2012 #2 Ahsante kwa kutujulisha, ila wategemea mionzi ya jua tuko kibao.
Munru JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 1,340 Reaction score 666 May 5, 2012 #3 mweee, maskini sisi wadanganika, ngoja nianze kuweka akiba pesa kwa ajiri ya kiwese cha kibatari
NusuMutu JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 421 Reaction score 87 May 8, 2012 #4 nji hii mgao wa umeme kama sarawili na mkanda