Upole ukizidi Sana =upumbavuTutamkumbuka Sana uncle Magu chini yake hakukuwa na tatizo la umeme wala maji aliwapiga beat Tanesco hata kabla yakuingia madarakani, kiufupi tunarudi kwenye maisha tuliyoyazoea hii nchi inatakiwa impate raisi ambaye ni mkali asiyependa masiala na mwenye maamuzi magumu sasa huyu Raisi wasasa anaendeshwa kwasababu ni mpole na hana maamuzi magumu so watu watamchezea wanavyotaka.Ukali wa Magu ulisaidia hii kunyooka kulikuwa na taarifa eti maji ya kidatu kupunguza Mara kwa Mara kipindi Cha kikwete lakini tangu aingie Magu Huu upuuzi ulikuwa haupo.
Nyani Ngabu
Ilikuwepo japo na watumiaji walikuwa wachache..Mimi naikumbuka sana migao ya miaka ya 80 mwishoni na miaka ya 90!
Ni kwanini hiyo asilimia 94 haitumiki?
Tatizo la kukata umeme kwa jina la huo mgao kwani limeanza awamu gani ?
Kwa kumbukumbu zangu umeme umewahi kuwepo mgao around 2006 & 2007 hata kipindi cha nyuma kabla ya hapo.
It does mkuu. Maana itaathiri uchumi pakubwa.Why does that matter?
Hakuna haja ya kuiuza. Serikali iondoe tuu ukiritimba wa Tanesco (level the playing field) halafu wawekezaji katika sekta ya umeme waongezeke. Ukiritimba wa TTCL ulivunjwa na makampuni binafsi ya simu yakaongezeka. Zamani ukiwa na simu nyumbani unaonekana tajiri, siku hizi mpaka watu wa vijijini wana simu. Watanzania lazima mkubali Ujamaa wa Nyerere umefeli, jaribuni sera za Ubepari.Wanatayarisha mazingira ya kuiuza Tanesco, kila kitu kimepangwa, wana check box tu, It’s a coup !
Kuumbuka kwenyewe si ndio huku? Kwanza system ya Luku! Sasa hii. Au una amini walikuwa wanaifanyia service kama inavyotakiwa?Huu ni uongo, mtambo usipofanya maintenance utakuumbua tu. Pia ilisubiri January awe waziri ili ianze kuharibika?
Pikipiki tu huwezi kuendesha mwaka mzima bila service
Hangaya nimeongoza maombi na mvua ikanyeshaTutafurahi.
Tutampa na uchifu
Kitu chochote ili kimudu kinahitaji regular service/maintenance. Na unatakiwa uwe na source nyingine ya umeme. Kwa wenzetu wanafanya service inspotakiwa, na wakati mitambo inapofanyiwa service wananunua mahitaji yao kwa wenye surplus. Tungekuwa tumeunganisha na wa msumbiji au Zambia au Kenya wakati huu ndio tungenunua kutoka kwao.Kwa hiyo shirika halina kabisa mipango ya kuhakikisha kuwa hakuna usumbufu wa ukosefu wa umeme pindi wanapoifanyia ukarabati hiyo mitambo?
Mbona nchi zingine nilizowahi kuishi huwa hakuna migao ya umeme ya hivyo?
Wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati?
Na haiwezekani umeme kuendelea kuwepo huku mitambo ikifanyiwa ukarabati?
Watu wanaishi kwa ku cannibalise spares, utashangaa kuwa wanashindwa kufanya major maintenance? Hawa kama walikuwa wanajitahidi walikuwa wanabadilisha oil tu lakini ile ya kubadilisha brake fluid, grease, air filter, kucheki mfumo wa umeme n.k. walikuwa hawafanyi.Hata kama una akili ndogo kweli unafikiri kabisa hii mitambo inaweza kuendeshwa bila kufanyiwa mantainance kwa miaka sita? Unafikiri mantainance mpaka umeme ukatike?
Hatutaki maoni yako tunataka uhalisiaInadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.
Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…
Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.
Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?
Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.
Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?
Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?
Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?
Tanesco….and whoever else involved….seriously????
NB: Halafu nani anaamini huu mgao utakuwa ni wa siku 10 tu????? Mimi siamini….
kesho yake mzee alifaliki sijui alikuwa anamaanisha nii .![emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2098632
Mgao bin mgao bin mgao mpaka tunyooshe maelezo !!! Shabash !!!Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo ni mgao juu ya mgao