Mgao wa Milioni 200 Yanga, ni udhibitisho mwingine Yanga ni kama timu ya Ndondo

ULEE UPUUZI WA GSM KAJITOAA UMRISHIA WAPI KWANZAA
 
Ukisikia BINTI ana period msiamini sana akikisheni kavua chupii mtaabikaaa mkuu
 
Yaani hao sportpesa wajitoe tu hata Sasa...wanna wivu wa kike
 
Yaani hao sportpesa wajitoe tu hata Sasa...wanna wivu wa kike
Aliyerekodi ni Nani? Na amesambaza kwa ruhusa ya Nani...nimeona hii pia mmoja wa viongozi wa Simba naye eti anasambaza...ninachoshangaa ni viongozi wa yanga kukaa kimya kwa kitendo hicho Cha kiongozi huyo wa Simba...ilikuwa ni nafasi kwa yanga kuwaandikia TFF na nakala kuwasilishwa CAF na FIFA...nadhani baadhi ya viongozi wa Yanga ni bogus kabisa...wanashindwaje kuchukua hatua kwa suala Kama hili kwa kiongozi wa Simba kusambaza video ya uchochezi mitandaoni dhidi ya Yanga? Huu uongozi wa Yanga nadhani una matatizo...
 
Thibitisha kama kweli huu ni uchochezi
 
The onus should be kwa aliyesambaza/waliosambaza....athibitishe/wathibitishe kuwa huo siyo uchochezi
walioongea ni wachezaji wa yanga sasa kuna ubaya gani wa kusambaza hii habari walitakiwa kukanusha kuwa siyo wao walioongea vinginevyo sioni kama kuna tatizo kusambaza hii habari
 
Zile mil 200 inaonekana ziliwauma sana ndugu zetu mbumbumbu fc mtaaendeleaa kuzikumbukaa sababu zilitokana na kichapo kikali sana mlichokipata 8 March

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima ziwaume,yule tajiri yao mbahili kamwe atotokea kutoa pesa kama ile kama bonus,hiyo walipochukua ubingwa tu aliwapa boxer,na siku ya kuwakabidhi full mapicha,sasa piga hesabu boxer ya m 2.3 × 30=? halafu na mapicha juu
 
walioongea ni wachezaji wa yanga sasa kuna ubaya gani wa kusambaza hii habari walitakiwa kukanusha kuwa siyo wao walioongea vinginevyo sioni kama kuna tatizo kusambaza hii habari
Wewe ukirekodiwa unaongea mambo yenu na rafiki yako, mkeo, girlfriend wako kuhusu mambo yenu na mtu akasambaza kwa hiyo ni sawa tu na kwamba wewe unachotakiwa kufanya ni kukanusha tu au siyo??!! Ngoja nikwambie ndugu yangu someni vizuri sheria za mitandao cyber crimes Act na hata penal code ndipo utaelewa...Nakwambia hivI Yanga au wachezaji wenyewe wakiamua kuchukua hatua huyo Manara wenu na wote waliosambaza hiyo video wanalo...mark my words..ni bahati mbaya tu kwamba uongozi wa Yanga hawsjui kitu otherwise that is a straight forward case...
 
hawa wachezaji walikuwa wanalalamika kwanini wametengwa kwenye mgao wa pesa ni wazi walipokuwa wanaongea ama walijirekodi au walirekodiwa ni vema kamaa kuna mtu ameona ameathirika akachukue hatua badala ya kukaa kimya
 
hawa wachezaji walikuwa wanalalamika kwanini wametengwa kwenye mgao wa pesa ni wazi walipokuwa wanaongea ama walijirekodi au walirekodiwa ni vema kamaa kuna mtu ameona ameathirika akachukue hatua badala ya kukaa kimya
Nakwambia hivi Ndugu yangu kwamba Yanga ikichukua hatua dhidi ya huyo Manara wenu then he is in for it....hatakwepa adhabu kwamba Kama kiongozi wa Simba anaihujumu Yanga katikati ya ligi...it is a very serious mistake amefanya Manara...a very serious mistake...Wanayanga wakichukua hatua repercussions zake ni mbaya mno kwa Simba...make no mistake on this.

Amefanya kosa kubwa...ni bahati tu kwamba uongozi wa Yanga ni very very very weak.
.
 
Ndio maana Mimi huwa naamini viongozi wengi wa yanga hasa Mwenyekiti na Katibu wake wanaihujumu Yanga
 
Alietangaza milioni 200 ndo mshamba..
Wachezaji wanapewa motisha kulingana na mishahara yao..

Angesema Tu watalipwa zawadi Sawa na mishahara yao. Ingeondoa mgogoro.
Na ambao hawakucheza nusu mshahara
 
Ndio maana Mimi huwa naamini viongozi wengi wa yanga hasa Mwenyekiti na Katibu wake wanaihujumu Yanga
Kuhujumu hapana ..

Tatizo ni kuwa hawana experience na suala la soccer administration na hasa kwa klabu...Mimi nawafahamu wote wawili ...ni wanayanga wa ukweli...ila kwa mazingira ya soka ya Tanzania na hasa kwa klabu kubwa za Simba na Yanga inahitaji commitment ya Hali ya juu na hasa muda wa kushughulikia mambo mbalimbali...masuala ya fedha, kambi, wachezaji matatizo yao, majungu ya wanachama, hujuma mbalimbali, pressure kutoka kwa viongozi waandamizi ndani ya serikali, mikwara ya wapenzi oya oya, mikwara ya wanaodai ni kamati za ufundi na kadhalika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…