ni kweli,walianza na mawakala na mimi kama wakala nilipata gawio zuriii tu...I think tigo ss wanaelekea pazuri.
Kwa ugao huo ni wa asilimi 4% sasa hiyo inakuwaje ni kwa balance uliyonayo wakati unasema wekeza au inakuwaje
Salio jipya ni Tsh 1,547. Umepokea Tsh. 67; Jina la wakala TIGOPESA WEKEZA; kumbukumbu No. CI140912.1659.A06938. Tigo Pesa inawalipa wateja wake wote faida kulingana na salio walilohifadhi. Tuma WEKEZA kupokea au CHANGIA kuweka faida hiyo kwenye mfuko wa jamii kwenda 15514.