Mgao wa umeme ni moja ya mambo yaliyofanya CCM ichukiwe jiji la Dar Awamu ya Nne

Mgao wa umeme ni moja ya mambo yaliyofanya CCM ichukiwe jiji la Dar Awamu ya Nne

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Jiji hili shughuli nyingi za uchumi zinategemea nishati hii ya umeme kukosekana kwa umeme kunaenda kumuathiri mwananchi moja kwa moja kwanzia mama ntilie, wauza juice, kazi za kulanda mbao,magarage,wenye biashara za saloon na barbershop hizi ndio biashara pendwa jiji hili na zimetapakaa kila mtaa.

Mgao huu ukiendelea kwa muda mrefu CCM wajiandae kupoteza ushawishi mkubwa tayari kanda ya ziwa hawana tena habari na CCM.
 
Jiji hili shughuli nyingi za uchumi zinategemea nishati hii ya umeme kukosekana kwa umeme kunaenda kumuathiri mwananchi moja kwa moja kwanzia mama ntilie, wauza juice, kazi za kulanda mbao,magarage,wenye biashara za saloon na barbershop hizi ndio biashara pendwa jiji hili na zimetapakaa kila mtaa.

Mgao huu ukiendelea kwa muda mrefu CCM wajiandae kupoteza ushawishi mkubwa tayari kanda ya ziwa hawana tena habari na CCM.
Huu sio mgao ni hakuna umeme,ccm ni janga hawawezi kubadili lolote...tungeweza kujenga kijiji cha solar kwa 3 trilion,tukapata zaidi ya megawat 3000,ccm yamefisadi n kuuza miti kisha kujenga bwana mahali hata mvua zenyewe za shida,ccm ni mbwaaa
 
Jiji hili shughuli nyingi za uchumi zinategemea nishati hii ya umeme kukosekana kwa umeme kunaenda kumuathiri mwananchi moja kwa moja kwanzia mama ntilie, wauza juice, kazi za kulanda mbao,magarage,wenye biashara za saloon na barbershop hizi ndio biashara pendwa jiji hili na zimetapakaa kila mtaa.

Mgao huu ukiendelea kwa muda mrefu CCM wajiandae kupoteza ushawishi mkubwa tayari kanda ya ziwa hawana tena habari na CCM.
Ndo tunaishi humo sasa
 
Back
Top Bottom