Claude Henry
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 323
- 350
TANESCO ,
Hivi,mafundi wenu wanahitaji nini labda tuweze kupata umeme?
Haya, mgao,ni kawaida tumeanza kuzoea. Lakini,hata ukirudi. Kila mara lazima wapigiwe simu? Hamna spare za vitu vilivyoharibika? Kila kuchako,waunge miwaya, baada ya siku kadhaa,tatizo tena! Nini tufanye labda!?
Hili lipo Tabata/Kisiwani, Uwanja wa Twiga.
TANESCO ,
Hivi,mafundi wenu wanahitaji nini labda tuweze kupata umeme?
Haya, mgao,ni kawaida tumeanza kuzoea. Lakini,hata ukirudi. Kila mara lazima wapigiwe simu? Hamna spare za vitu vilivyoharibika? Kila kuchako,waunge miwaya, baada ya siku kadhaa,tatizo tena! Nini tufanye labda!?
Hili lipo Tabata/Kisiwani, Uwanja wa Twiga.
Tanesco wanazingua kinoma lo