comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Walitwaliwa miongoni mwetu, tumesoma nao katika vyuo vyetu.
Je, wafanyakazi na mafundi wetu wa TANESCO wana uwezo na weledi wa kuiendesha, kuitunza na kuikarabati miundo mbinu ya umeme?
Au nao wana mchango wao katika janga hili la mgao wa umeme kama ukame na mitambo?
Je, wafanyakazi na mafundi wetu wa TANESCO wana uwezo na weledi wa kuiendesha, kuitunza na kuikarabati miundo mbinu ya umeme?
Au nao wana mchango wao katika janga hili la mgao wa umeme kama ukame na mitambo?