Mgawanyo Wa Zawadi Ligi ya EPL

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
Huu ni mgawanyo wa fedha za Haki za matangazo ya TV kila timu shiriki hupewa £12.5M kisha ongezeko jingine ni kutokana na idadi ya mechi zilizooneshwa live ,hapa tunaona Liverpool kawashinda wenzake kwa sababu ameongoza kwa idadi ya mechi kuoneshwa 29 na kitita atakachokipata ni £149.5

Walioshuka daraja wanapata hela ndefu kuliko bingwa wa Ujerumani, Italy ,France ,.

Hii ndio EPL
 
Na anaepanda daraja kwa kupitia play off anavuna mpunga wa Maana Sema mechi za play off ni ngumu Sana...... Alafu Kuna bonus wa napata ukiweza ku survival kweny Pl msimu wa kwanza......
 
Wanagawana au mshindi? Tatizo/tofauti kwa wenzetu pride ni muhimu kuliko pesa? Aston villa vs derby county playoff final at wembley on the 27.05.19. Don't plan to miss
Wanapata 170£ mil
 
Izo hela kibongo bongo zinatamkwa vipi maana sielewi kabisa mbn kama ni kitita kimoja cha usajili wa neymar na haifikiii....
 
Huddersfield huo mpunga akifanya usajili mzuri atasumbua sana kwenye championship msimu ujao.
 
Izo hela kibongo bongo zinatamkwa vipi maana sielewi kabisa mbn kama ni kitita kimoja cha usajili wa neymar na haifikiii....
Hiyo ni kwa ligi tu , bila michuano mingine, bila mauzo ya jezi, bila mikataba mbali mbali

Hiyo hela inatamkwa paundi mil 149.5 narudia ni kwa EPL, tu ambayo amevuna Liverpool ,kufika fainal UCL anaukika wa paund mil 100+ ,
 
Hiyo ni kwa ligi tu , bila michuano mingine, bila mauzo ya jezi, bila mikataba mbali mbali

Hiyo hela inatamkwa paundi mil 149.5 narudia ni kwa EPL, tu ambayo amevuna Liverpool ,kufika fainal UCL anaukika wa paund mil 100+ ,
Kwaiyo usajili wa neymar ni pesa nyingi kuliko bingwa wa epl??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…