tucta tumieni kibwagizo hiki " solidarity with Slaa forever" au "wafanyakazi tushikame na slaa pamoja"
wafanyakazi tafuteni kibwagizo rahisi kuhamasishana kupiga kura na kumchagua Slaa kwani mkwere hahitaji kura zenu na hana pesa zakuwalipa ila anazo za kusafiria nje,kuongeza wabunge,baraza la mawziri,kununua mashangingi,posho,etc.
Nikiwa kama mfanyakazi nimefarijika sana kuona tucta wanajiandaa kutoa tamko la kuamua ni nani wafanyakazi tumpigia kura hapo oktoba.msimamo ni huu "ni mgombea gani akipata uraisi atajali maslahi ya wafanyakazi na ambae anawajali wafanyakazi na kuomba kura zao" wenye wivu wajinyonge tu ila hii inamtupa tena kiranja mkuu kwani yeye alishasema hahitaji kura za wafanyakazi, naongeza na za wategemezi wetu.'solidarity forever'
hakuna lolote hao wafanyakazi ni wasanii tu kwani si walisema wanagoma mara wakapigwa mkwara asiyeripoti kazini hana hajira wakarejea kazini wote tena kwa woga mbona hawakuendeleza mgomo wao sasa hivi ndo wanajidai kutishia nyau mtu mzima?sema watasaidia chama kitakachoshinda kisishinde kwa kishindo ah ah ah najua unakijua chama kitakachoshinda.:frusty:Nikiwa kama mfanyakazi nimefarijika sana kuona tucta wanajiandaa kutoa tamko la kuamua ni nani wafanyakazi tumpigia kura hapo oktoba.msimamo ni huu "ni mgombea gani akipata uraisi atajali maslahi ya wafanyakazi na ambae anawajali wafanyakazi na kuomba kura zao" wenye wivu wajinyonge tu ila hii inamtupa tena kiranja mkuu kwani yeye alishasema hahitaji kura za wafanyakazi, naongeza na za wategemezi wetu.'solidarity forever'
Mkuu mie sipo private sector. Mie ni mtumishi wa Umma, .
Watafanya kampeni ya mtu kwa mtu mpaka kieleweke
Kwenye nyekundu ni takwimu ya mwaka gani?? Hivi wafanyakazi ni asilimia ngapi ya Watanzania wote? Maana sasa nchi hii inataka kuwa ni wafanyakazi kila siku. Na wangapi ndio wanaopiga kura??? Ufanisi wa hao wafanyakazi ukoje? Wanawahi kazini?? Hawaibi? Rushwa na utendaji wao ukoje? Mbona hatujawahi kuona shirikisho hili likisimama kidete kwenye kuzorota kwa utendaji?
aanze kwa kuwaambiwa hawa wafanyakazi wajibu wao kwanza ingependeza maana kwa kweli ufanisi wao haueleweki. Ndio maana mara customer service, rushwa, ardhi nk. Hawa wote ni wafanyakazi.
Jk lazima aje atubu na kuomba msamaha mbele ya TUCTA kwa kauli yake,ni nchi nyingi tuu mapinduzi ya nchi yameletwa na wafanyakazi.
TUCTA ni muda muafaka kila mgombea ajicommit atawafanyia nini wafanyakazi personally katika suala la kodi ambayo ni kubwa mno ie PAYE.
Mbaya zaidi kodi unakatwa ukidhani utapata unafuu wa maisha ukienda police ata karatasi ya kuandikia waambiwa kanunue,uko mahospitalini ndo roho ata wazee wanapigwa dana dana.Wanaweza sema ela ztumika kujenga barabara but ukiangalia barabara nyingi ni misaada kama ya iringa-iyovi,songea-namtumbo,sumbawanga-tunduma
UNAJUA MAANA YA KAULI HII? MAANA YAKE NI HII HAPA CHINI""Sizitaki kura zenu wafanyakazi................................................
Hizi kampeni za kwenye mitandao hazitatusaidia sana, we need to go out there na kuwambia wapige kura haya tunayoyahubiri hapa! Wafanyakazi waliowengi ndio wasomi wa nchi hii, na hao ndio wamekuwa wakiiangusha nchi hii for many years....coz wanajua ukweli wa mambo lakini they don't act accordingly.......! We need to have a realistic change...sio tunaongelea mabadiliko ya kinafiki tu...! tuje tusikie waliopiga kura ni 5million people kati ya 20 million waliojiandikisha.....this is shame!
watu kwa kujifariji sasa kama wafanyakazi hawajajiandikisha nani kajiandikisha, watoto.Tatizo wafanyakazi walio wengi hawajajiandikisha kupiga kura.........!