Elections 2010 Mgaya anang'ata Kongoli, ana meno sasa!

Chonde chonde kuna mtu mwenye clip ya statement ya Kikwete kukataa kura za wafanyakazi?, inahitajika sana kwa sasa, hata ikiwa Mp 3 itakuwa poa tu, naihitaji kuiweka kwa simu yangu iniongezee machungu na kupandisha mori!
 
Pia suala la salary linaathiri pia sekta binafsi. Kwa sababu katika sekta binafsi vyama vya wafanyakazi havina nguvu na mahali pengine havipo. Wafanya kazi sekta binafsi wapo wengi, wahamasishwe pia ili wampigie Dk Slaa kura. Wafanyakazi sekta binafsi hawana pa kusemea. Wenye makampuni au waajiri sekta binafsi wako after big profit na kumbuka wanachangia ccm ili wawadhulumu wafanyakazi na kukwepa kodi.
 
Chonde chonde kuna mtu mwenye clip ya statement ya Kikwete kukataa kura za wafanyakazi?, inahitajika sana kwa sasa, hata ikiwa Mp 3 itakuwa poa tu, naihitaji kuiweka kwa simu yangu iniongezee machungu na kupandisha mori!


Mkuu ukiipata mie nipe naifanyia remix then tunaingia Studio na mzee Mr II ngoma lazima iwe in music things...Itatupa midadi ya kuzidi kumchukia huyu jamaa..
 
Wafanyakazi katika nchi nyingi wana nguvu ya kudetermine nani waunde serikali. Kwa mfano wafanyakazi wa SA huwezi kushinda uchaguzi kama huungwi mkono na chama cha wafanyakazi, na vyama vya wafanyakazi SA huwa na msimamo wa kuchagua chama na mgombea watakaye muunga Mkono. Nadhani huu ndio wakati ambapo TUCTA inaweza kurudisha uhai wa vyama vya wafanyakazi na pia kuwafufua wafanyakazi tena, Mgaya anatakiwa kuwa na strategic meeting na kamati zake ili waweze kulobby kwa wagombea namna watakavyoweza kuwasaidia kushinda uchaguzi lakini nao watakavyoweza kuboresha mazingira ya wafanyakazi at the same time lazima wakubaliane terms za kuboresha uzalishaji na kuongeza tija ya utendaji kazi wa wafanyakazi.
 
Kwa kusema ule ukweli wa kutoka rohoni, siwaamini wafanyakazi (TUCTA). Nikikumbuka historia yao, mmmmhhh!
 

Kwa vyovyote utakuwa MKWERE WEWE! sasa changanya na zakwako nadhani utajitambua
 
Huyu Mgaya na TUCTA yake ndiyo wanaomharibia Dr Slaa. Tayari pingamizi limeshaandaliwa mafisadi wanasubiri Dr Slaa arudishe fomu ndipo wamwekee pingamizi kwenye Tume ya Uchaguzi aenguliwe kwa kukiuka utaratibu, ati ameanza kampeni kabla ya muda.

TUCTA wangesubiri Dr Slaa apate uteuzi wa Tume ya Uchaguzi ndipo waanze kuhamasisha apigiwe kura. Hili pingamizi likifanikiwa sitawasamehe wote watakaokuwa wamesababisha.
 
Kumbe mafisadi ndio wameandaa pingamizi sasa inauhusiano gani na TUCTA kumharibia Slaa unachanganya sana mambo kajipange upya ndipo uje tena, kuna magreat sinka hawadanganyi na story za kuchonga.
 

Red :maslahi yake yapi kivipi ?mbona unaongea tuhuma kubwa bila supporting evidence au wafanyakazi wakipandishwa mishahara anapata percentage kwa kila kichwa. Ukiuliza nyakati ulizo taja ni kujua muda gani wa kubonyeza na muda kani wa kusubiri peoples skill.
Blue :wewe aliyesema maneno ya dharau ,kejeli na vitisho kwa wafanyakazi mna maono sawa .
 
Tumehamia kwenye faida za kisiasa badala ya kuangalia MASLAHI YA WAFANYAKAZI & HUDUMA WANAZOTOA......! swali....UMEWAHI KUWA NA KESI MAHAKAMANI WEWE? HAKI ILITENDEKA? HUKUTOA CHOCHOTE?, UMEWAHI KUVAMIWA NA MAJAMBAZI? ULIRIPOTI POLISI? WALIKUPA MAJIBU GANI?......AU HUJAWAHI BAMBIKIWA KESI?.....HOSPITALINI UMEWAHI FIKA? ULIPOKELEWA KAMA MGONJWA AU KAMA KIBAKA?.....TRAFIKI WAMEWAHI KUKUSIMAMISHA BARABARANI? HAWAKUKUOMBA CHOCHOTE KWELI? NA KUKUTISHIA KUWA USIPOTOA WANAKUADHIBU ZAIDI?......UMEWAHI OMBA AJIRA HUKU UNA SIFA STAHILI? ULIPATA AU ULIKUSA? UNDAHANI KWA NINI ULIKOSA?.......HAWA NDIYO WATUMISHI UNAOWATETEA WANAOHUDUMIA JAMII? AU UNAHITAJI MTAJI WA KISIASA?
 
AKILI NYINGI SANA........Mapoints matupu.....
 

Mr Mgaya, the answer is very very clear, I wonder why you haven't decided yet. VOTE FOR KIKWETE, because he promised NOT to increase your salaries even if you complain for eight years! Sasa huo mkutano mkuu wa nini? au ajenda hiyo katika mutano huo ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…