Elections 2010 Mgaya wa tucta amfunika jk kwenye siku kuu ya walimu songea.

Elections 2010 Mgaya wa tucta amfunika jk kwenye siku kuu ya walimu songea.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2009
Posts
4,587
Reaction score
580
Jamani Jk jana alikutana uso kwa uso na raisi wa vyama vya wafanyakazi mbwana Mgaya.kitika muda wa kutambulishwa wageni walitambulishwa wengi lakini hakuna aliyopigiwa makofi au kushangiliwa mbwembwe na walimu,lakini mtambulishaji wageni alivyomwambia raisi lakini pia tunaye ndugu yetu bwana Mgaya nadhani unamfahamu sana huyu bwana..walimu wote walimshangilia kwa shangwe na haieleweki kwa nini walimshangilia sana Mgaya kuliko hata jk.kwa kifupi sherehe haikuwa yenye kuvutia sana kwa kuwa walimu wengi waliojitokeza walikuwa wanyonge tena hata kupiga makofi kwa muheshimiwa rais walikuwa mpaka wahimizwe na mc.na wengine walidhubutu kutoka hata kabda ya hutuba ya rais na wengine walikuwa wakitoka wakati rais akiendelea kuhutubia.da kuna kijana mmoja alikatiza mbele ya viongoz wa ccm wa mkoa akiuza machungwa wakamuita na kutaka kununua machungwa lakini walivyomuona shingon kavaa lebo ya dr slaa wakaacha kununua na yule kijana akawambia acheni mbona nanyi mumevaa nguo za ccm?huyu kijana alishangiliwa sana na watu.Nchimbi alitaka kuingia uwanjani na gar lake lenye picha za kampeni alizuiwa na kuamua kwenda kubadilisha gari,gari la TOT nalo na lilitolewa uwanjani kwasababu ya mabango yake ya ccm.
 
Wembe ulee!! wembe ni ule ule ushindiii Ushindii!! SLAA JUU.
25 days to go!!!!
Bye bye Mr. Kikwete. Nchi hii sio kichwa cha mwenda wazimu ndio ujifunzie Uongozi!!
 
Jamani Jk jana alikutana uso kwa uso na raisi wa vyama vya wafanyakazi mbwana Mgaya.kitika muda wa kutambulishwa wageni walitambulishwa wengi lakini hakuna aliyopigiwa makofi au kushangiliwa mbwembwe na walimu,lakini mtambulishaji wageni alivyomwambia raisi lakini pia tunaye ndugu yetu bwana Mgaya nadhani unamfahamu sana huyu bwana..walimu wote walimshangilia kwa shangwe na haieleweki kwa nini walimshangilia sana Mgaya kuliko hata jk.kwa kifupi sherehe haikuwa yenye kuvutia sana kwa kuwa walimu wengi waliojitokeza walikuwa wanyonge tena hata kupiga makofi kwa muheshimiwa rais walikuwa mpaka wahimizwe na mc.na wengine walidhubutu kutoka hata kabda ya hutuba ya rais na wengine walikuwa wakitoka wakati rais akiendelea kuhutubia.da kuna kijana mmoja alikatiza mbele ya viongoz wa ccm wa mkoa akiuza machungwa wakamuita na kutaka kununua machungwa lakini walivyomuona shingon kavaa lebo ya dr slaa wakaacha kununua na yule kijana akawambia acheni mbona nanyi mumevaa nguo za ccm?huyu kijana alishangiliwa sana na watu.Nchimbi alitaka kuingia uwanjani na gar lake lenye picha za kampeni alizuiwa na kuamua kwenda kubadilisha gari,gari la TOT nalo na lilitolewa uwanjani kwasababu ya mabango yake ya ccm.
Jakaya akasemaje tujuvi?nadhani hiyo ndo issue dondoa kidogo....Slaa for Magogoni(Aka Ikulu ya Dar-es-Salaam
 
kweli mkwere sasa anakula jeuri yake.
Hili la kikwete kuondoka madarakani oktoba mwaka huu litakuwa fundisho kwa mafisadi wengine waliojipa hatimiliki ya hii nchi.
Kwaheri kikwete.
 
Kauli mbiu ilikuwa "mwalimu bora kwa elimu bora" sasa JK amesemaje kuhusu mchango wake kwenye ubora wao kwa miaka yake mitano na ya CCM madarakani kwa ujumla?
 
Hahahaha nimefurahi sana, walimu wana nyanyasika saaaaaaaaaaaaana tuu. wakipiga kura against Mkwere dah tunaingia ikulu km tunaliaaaaaaaaaaaaa. VOTE FOR CHADEMA
 
Hivi kweli hakujisikia vibaya, hao hao waalimu aliwaambia hata waandamane miaka 8 watajibeba. leo anaenda kwenye sikukuu yao... Kweli binadamu tuna mambo...
 
Huyu Mkwere hana aibu, inakuwaje unawatukana watu halafu unaenda kusimama mbele yao bila haya na kuanza kuwadanganya, lakini aibu yake aibu yao, aibu yake mkwere mwenyewe. Walimu msidanganyike tena, vinginevyo msiendelee kulialia baada ya hapa.
 
Back
Top Bottom